Naomba kuingia ndani.

Naomba kuingia ndani.

Heshima yako mkuu Ndala Ndefu.
Baba V yuko jela ndo nilikuwa nauliza atatoka lini.
uccm sina kwani nataka mabadiliko.
 
Yaani mi umeniboa kweli na mivilugha yenu, hatutaki ukabila na mauccm yako humu!

Acha kutokwa povu wewe....mtu mwenyewe wa kuletwa mjini tu hap halafu unajifaragua kama mcheza mkodobwe.
Kama huna cha kuongea kaa kimya, pita kimya au soma walivyoandika wengine sio unakua na kiherehere kama harisho litokanalo na mandondo yaliyochacha.
Tusikaribishe wageni kisa tunafahamu lugha moja zaidi ya kiswahili eboh!!
Ndio maana kina Joti na Mpoki wanakuita deshi deshi ndala fupi!!
 
Acha kutokwa povu wewe....mtu mwenyewe wa kuletwa mjini tu hap halafu unajifaragua kama mcheza mkodobwe.
Kama huna cha kuongea kaa kimya, pita kimya au soma walivyoandika wengine sio unakua na kiherehere kama harisho litokanalo na mandondo yaliyochacha.
Tusikaribishe wageni kisa tunafahamu lugha moja zaidi ya kiswahili eboh!!
Ndio maana kina Joti na Mpoki wanakuita deshi deshi ndala fupi!!

We huna tofauti na yule jamaa anaefkiria kwa kutumia makalio, harafu huwa cbishani na wangese kama wewe na familia yako nzima. Kakojoe ukalale makalio mkubwa wewe!
 
We huna tofauti na yule jamaa anaefkiria kwa kutumia makalio, harafu huwa cbishani na wangese kama wewe na familia yako nzima. Kakojoe ukalale makalio mkubwa wewe!

Hahahahah....ona unavyojing'ata ng'ata tu hata kuongea huwezi....
 
Shimilimana
Nimekaria japo kuna mtu nimemkwaza kwa kuongea kinyumbani na ndugu WATU8
Tuko pamoja.
 
Shimilimana
Nimekaria japo kuna mtu nimemkwaza kwa kuongea kinyumbani na ndugu WATU8
Tuko pamoja.

Mkuu hakuna uliyemkwaza, huyo kifaruhande hata asikusumbue kichwa. Sio kila kilichomo JF kila mtu anatakiwa kukifuatilia na kuchangia.
Watu wapashkuna ndio huwa wanaingilia maongezi ya watu na kutoa lugha chafu.
Kama anataka tuandike vitu anavyotaka si atengeneze forum yake!!
 
Back
Top Bottom