Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mi umeniboa kweli na mivilugha yenu, hatutaki ukabila na mauccm yako humu!
Acha kutokwa povu wewe....mtu mwenyewe wa kuletwa mjini tu hap halafu unajifaragua kama mcheza mkodobwe.
Kama huna cha kuongea kaa kimya, pita kimya au soma walivyoandika wengine sio unakua na kiherehere kama harisho litokanalo na mandondo yaliyochacha.
Tusikaribishe wageni kisa tunafahamu lugha moja zaidi ya kiswahili eboh!!
Ndio maana kina Joti na Mpoki wanakuita deshi deshi ndala fupi!!
We huna tofauti na yule jamaa anaefkiria kwa kutumia makalio, harafu huwa cbishani na wangese kama wewe na familia yako nzima. Kakojoe ukalale makalio mkubwa wewe!
Kama kuna nafasi humo ndani naomba mnipoke.
Shimilimana
Nimekaria japo kuna mtu nimemkwaza kwa kuongea kinyumbani na ndugu WATU8
Tuko pamoja.