Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Za muda wadau!moja kwa moja kwenye swali
"Hivi kinachotuangaisha binadamu katika harakati za maisha kinatokana na historia(sayansi)?
Au maisha ya sasa(uvumbuzi) au maisha ya baadae(dini au maandiko) naomba aloelewa ajibu na kama hujaelewa naomba tumia muda kusoma NK kwenye mabano ni ufafanuzi mdogo ila base kwenya maswali yenyewe.
"Hivi kinachotuangaisha binadamu katika harakati za maisha kinatokana na historia(sayansi)?
Au maisha ya sasa(uvumbuzi) au maisha ya baadae(dini au maandiko) naomba aloelewa ajibu na kama hujaelewa naomba tumia muda kusoma NK kwenye mabano ni ufafanuzi mdogo ila base kwenya maswali yenyewe.