Hii comment iwekewe pin au ifanyiwe lamination kabisaHii biashara nilifanya na naipenda Sana na inafaida Sana,chimbo kuu ni Zanzibar my dia,Kuna mtaa unaitwa kwa haji tumbo hapo ndo mwsho wa matatizo yote ya vyombo Bei rahis Sana na vizur Sana ,Kama unaweza nenda kwanza ukajionee ,Zenj ndo kila kitu kwa hii biashara na inafaida Sana na ili uwe na mzunguko mzur usiuze kwa Bei kubwa ili uuze haraka ulete Mali mpya kila siku..all the best
Nenda Kariakoo jilani na soko dogo,ulizia mtaa wa vyombo vyombo vya jumlaSalaam wakuu!
Jamani nahitaji kujulishwa kuhusu biashara ya vyombo vya majumbani hasa ceramic au kwa kiswahili vyombo vya kauli/kuvunjika!
Nahitaji kufanya biashara hii ila sijui hata pa kuanzia, niko Dar.
Kwa anaefahamu wapi naweza kununua kwa jumla anielekeze please! Nilishakwenda kariakoo kufanya utafiti ila nimetoka kapa!
Naombeni mwongozo wenu.
Nenda Kariakoo jilani na soko dogo,ulizia mtaa wa vyombo vyombo vya jumla
Mkuu naomba tuwasiliane, nimekutext inboxHii biashara nilifanya na naipenda Sana na inafaida Sana,chimbo kuu ni Zanzibar my dia,Kuna mtaa unaitwa kwa haji tumbo hapo ndo mwsho wa matatizo yote ya vyombo Bei rahis Sana na vizur Sana ,Kama unaweza nenda kwanza ukajionee ,Zenj ndo kila kitu kwa hii biashara na inafaida Sana na ili uwe na mzunguko mzur usiuze kwa Bei kubwa ili uuze haraka ulete Mali mpya kila siku..all the best
SawaHi biashara hata mimi nilitaka sanaa kuifanya sema nikakosa muongozo hivyo kupitia uzi huu nazani naweza kupata Kama atatokea mtu wa kutupa maelezo mazuri.
Safi SanaPia tuna glass na decanters zake
Kwa anayehitaji pia anaweza pata
View attachment 1971042
View attachment 1971043
Zipo decanta na glass za wine 4 au 6
View attachment 1971044
View attachment 1971045
Hongera sana mkuu naomba kujua gharama za usafiri zipoje kwa 1tonNina videos nyingi kuliko picha
View attachment 1971058
View attachment 1971059
View attachment 1971060
View attachment 1971061
View attachment 1971062
Hongera sana mkuu naomba kujua gharama za usafiri zipoje kwa 1ton
Kwenye ton kuna vyombo vingapi?
Naomba tuone picha ya hivo vikubwa nijiandae naeza agiza maana Nipo mkoaHivyo vilivyofika usafiri wa tani 1 ulikuwa 480USD, nina vingine tani 1 vinakuja hivyo usafiri ni 690 USD ni vikubwa sana so box kubwa CBM kubwa
Huo ndio utofauti
Nao
Naomba tuone picha ya hivo vikubwa nijiandae naeza agiza maana Nipo mkoa
Ubarikiwe mkuu....
Sasa mkuu unavyochanganyiwa uko huweza ukapewa vyombo visivyo kuwa na wteja/visivyo kuwa na ubora.