Naomba kujua ada za malipo kwa M-Pesa Visa card

Naomba kujua ada za malipo kwa M-Pesa Visa card

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Wakuu kwa anayetumia Vodacom M-Pesa Visa kulipia online naomba kujua ada ni asilimia ngapi. Nimeuliza customer care kupitia Whatsapp yao naambiwa ni 10%. Siamini kama ni ghali hivyo maana naona Safaricom ya Kenya wanachaji 3.5%.

Zamani nilikuwa natumia Mastercard yao haikuwa ghali kiasi hicho. Kwa anayetumia naomba kupata uhakika.
 
Back
Top Bottom