Naomba kujua ada za malipo kwa M-Pesa Visa card

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Wakuu kwa anayetumia Vodacom M-Pesa Visa kulipia online naomba kujua ada ni asilimia ngapi. Nimeuliza customer care kupitia Whatsapp yao naambiwa ni 10%. Siamini kama ni ghali hivyo maana naona Safaricom ya Kenya wanachaji 3.5%.

Zamani nilikuwa natumia Mastercard yao haikuwa ghali kiasi hicho. Kwa anayetumia naomba kupata uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…