marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Habari zenu ba ndugu
Nataka kwenda Zanzibar kukaa kama wiki na ubavu wa kushoto.
Kunahitaji bajeti kiasi gani kula, malazi, nauli na kutalii kidogo?
NB: Wananchi wa uchumi wa kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka kwenda Zanzibar kukaa kama wiki na ubavu wa kushoto.
Kunahitaji bajeti kiasi gani kula, malazi, nauli na kutalii kidogo?
NB: Wananchi wa uchumi wa kati
Sent using Jamii Forums mobile app