Naomba kujua bei ya Mahindi eneo ulipo

Naomba kujua bei ya Mahindi eneo ulipo

indi limeporomoka bei sana nafikiri ni wakati sasa watu wayatumie kulishia kuku na kulipandisha dhamani kua kuku
 
Asalaam,
Poleni na kazi. Naomba kujua huko ulipo na bei ya mahindi imefika bei gani kwa gunia la debe 7 au 6. Tupeane updates, tuone tunafikaje kuchukua mzigo.
Ahsanteni.
Foleni ya malori Soko la Mahindi manzese Leo tarehe 16/06/2024
 

Attachments

  • VID-20240616-WA0000.mp4
    2.4 MB
Back
Top Bottom