Naomba kujua frequency za BBC FM hapa Dar

Naomba kujua frequency za BBC FM hapa Dar

Hawana zaidi ya kujiunga na stations za hapa bongo ndio maana ukiwasikia lazma wajiunge kwanza sio moja kwa moja
 
Hakuna BBC FM Popote
Aitafute BBC Swahili Radio Na BBC Swahili Television

Kupitia Vituo Shiriki Matangazo Ni Hayo Hayo
Usichukue ignorance yako kuwa kanuni. Nairobi kina BBC ktk frequency za FM full time. Ndio maana nikauliza hapa bongo
 
Mkuu kwa hapa Tanzania BBC FM haipo.Ila haimaanishi kuwa hauwezi kupata BBC radio station.

Jinsi ya kupata ni kama una radio ambayo ina range pana ya frequencies.

Radio ikiwa na range kubwa ya frequencies unaweza kupata radio station yoyote ile hapa duniani.

Ila hautopata hiyo radio station kwa frequency ya FM bali other frequencies. Jaribu kuweka MW,SW¹,SW²-SW⁷ frequencies.
 
Mkuu kwa hapa Tanzania BBC FM haipo.Ila haimaanishi kuwa hauwezi kupata BBC radio station.

Jinsi ya kupata ni kama una radio ambayo ina range pana ya frequencies.

Radio ikiwa na range kubwa ya frequencies unaweza kupata radio station yoyote ile hapa duniani.

Ila hautopata hiyo radio station kwa frequency ya FM bali other frequencies. Jaribu kuweka MW,SW¹,SW²-SW⁷ frequencies.
Mfano anatumia subwoofer kuna hizi frequencies MW,SW¹,SW²-SW⁷..!? Kwanza radio zenye hizi varieties ni chache mno au labda kama ana gari sawa baadhi ya radio za gari zinaweza switch hizo modules... Hapo awasikilize kupitia mtandao/Internet au awe anangoja wanajiunga radio washirika au aende Kenya BBC na RFI wana frequencies masaa 24 kwenye FM..
 
Back
Top Bottom