Naomba kujua historia ya Christina Shusho

Upo sahihi mkuu
 
Aliwahi kuolewa akafiwa na mumewe nyinyi tatizo mmeanza kumjua juzi juzi ndio tatizo la watoto wa kipindi hiki,

Emu punguzeni basi
Shusho hajawahi kufiwa, unachanganya na Nkone Upendo
 
Ya kweli,kwasababu za kihistoria,watusi wapo maeneo hayo,ni wazuri sana halafu hawana sifa ya umalaya,tofauti na wadada wanaosifika kwa uzuri wa Manyara au Singida.
Usije ukarogwa, maana utakua umerogwa tena. Yutsi na Wamburu dugu moya damu moya same behavior
 
Dah!!

JF ya sasa..

SMH .πŸ˜”πŸ˜”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…