tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
πππππππππdahKama ana huruma anihurumie aisee yule shangazi ni mzuri haswaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππdahKama ana huruma anihurumie aisee yule shangazi ni mzuri haswaa
Na mimi nakazia hapo. Akuonee huruma tu haina jinsi.Kama ana huruma anihurumie aisee yule shangazi ni mzuri haswaa
[emoji304]Naona unamtetea mke mwenzako... Tuliza tigo hiyo kipi cha ajabu wakat kilakitu kipo wazi
Upo sahihi mkuuMnajua kuongea mataptap sijui stiri za kijiweni?
Watutsi ni dada zangu lkn utulivu zero.
Siku hizi tunawakwepa kuwaoa, hawajui kukataa.
Wahutu wana ahueni huenda sababu wengi sio warembo.pia wahutu wanawake wachapa kazi sana tofauti na binti wa kitutsi
Jf imejaa watu wenye tabia ya kisenge sijui itakuwaje[emoji304]
Shusho hajawahi kufiwa, unachanganya na Nkone UpendoAliwahi kuolewa akafiwa na mumewe nyinyi tatizo mmeanza kumjua juzi juzi ndio tatizo la watoto wa kipindi hiki,
Emu punguzeni basi
Mfuatilie vizuri mkuu, unajua ana watoto au wewe pia ndio wale wale mnasema hajazaa yupo single ?Shusho hajawahi kufiwa, unachanganya na Nkone Upendo
Haki majibu ulompa yamenfanya nicheke usiku huu kama mwehuUnataka nikujibu maswali au niache ujinga?Be specific and to the very point.
Shusho ana watoto wakubwa tu...I know datMfuatilie vizuri mkuu, unajua ana watoto au wewe pia ndio wale wale mnasema hajazaa yupo single ?
Soma hiyoMfuatilie vizuri mkuu, unajua ana watoto au wewe pia ndio wale wale mnasema hajazaa yupo single ?
Sawa mkuu, imefika kitengo Cha maafa tumehifadhi kanzidata
Hio unamaanisha we ni Nusu mwehu yaan namaanisha mtu aliyechanganyikiwa, ambaye vitendo vyake vinafanana na vya mwendawazimu (kichaaka), pardon my FrenchHaki majibu ulompa yamenfanya nicheke usiku huu kama mwehu
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Tunaelekea kubaya sana mkuu...Jf imejaa watu wenye tabia ya kisenge sijui itakuwaje
Usije ukarogwa, maana utakua umerogwa tena. Yutsi na Wamburu dugu moya damu moya same behaviorYa kweli,kwasababu za kihistoria,watusi wapo maeneo hayo,ni wazuri sana halafu hawana sifa ya umalaya,tofauti na wadada wanaosifika kwa uzuri wa Manyara au Singida.
Ndiyo anatoka kigoma ila chimbuko ni watu wa burundii(warundi)shusho anajua
Ana sauti nzuri
ni mzuri juu mpaka chini
Rangi nzuri sana
Ni mzaliwa wa Kigoma(mtanirekebisha kama nimekosea)
Naomba niishie hapa nisije nikaharibu. Namuelewa sana, mno.
View attachment 2582680
Ameolewa na Martha mwaipajandio namcheki hapa
ndo amepelekea nimeuliza swali hilo
Ooooh SEMA AMEN WEWEshusho anajua
Ana sauti nzuri
ni mzuri juu mpaka chini
Rangi nzuri sana
Ni mzaliwa wa Kigoma(mtanirekebisha kama nimekosea)
Naomba niishie hapa nisije nikaharibu. Namuelewa sana, mno.
View attachment 2582680
ππππ mnyampaa habari ya mpindiWewe hujui lugha zote mbili.Unaandika kama umetoroka madrasa.Andika kinyaturu tu nitakuelewa