Naomba Kujua Hiyo Suti Aliyovaa Mdau Ni ya Dukani Au Ni Ya kushona?

Naomba Kujua Hiyo Suti Aliyovaa Mdau Ni ya Dukani Au Ni Ya kushona?

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau.
Napenda Sana vazi la suti.
Nimeweka picha hapa chini kwani nimependezwa Sana na suti alovaa huyo Mdau.
Naomba jua.
1 Gharama za suti hiyo?
2. Je Ni ya kushona au ya Dukani?
3. Je rangi yake inaendana na huyo Mdau?

Aksanteni Sana
FB_IMG_15708964752642876.jpg
 
all in all jua kwamba suti za kushona ndio nzuri zaidi cause inakutoshea vizuri kabisa kulingana na vipimo vyako , af tena ukaishona kwa watu wanaojua kama kina mtani bespoke au papaa pale mikocheni ooh wee hautatamani kuivua , ila andaa laki nane yako tu mzee
 
Hii suti inachezea kwenye laki 2 kasoro hadi mbili unusu. Upande wa rangi nadhani kajitahidi labda sema asingevaa hivyo viatu nae. Hapo angepiga Travota za dark tan. Hii ya dukani mkuu huoni brand hiyo ila inawezekana alinunua kubwa akaenda kuipunguza kwa fundi maiko wa nguo.
 
Wadau.
Napenda Sana vazi la suti.
Nimeweka picha hapa chini kwani nimependezwa Sana na suti alovaa huyo Mdau.
Naomba jua.
1 Gharama za suti hiyo?
2. Je Ni ya kushona au ya Dukani?
3. Je rangi yake inaendana na huyo Mdau?
Aksanteni Sana
Siku zote suti za njano ni orijino na hauhitaji kuuliza.
 
Wadau.
Napenda Sana vazi la suti.
Nimeweka picha hapa chini kwani nimependezwa Sana na suti alovaa huyo Mdau.
Naomba jua.
1 Gharama za suti hiyo?
2. Je Ni ya kushona au ya Dukani?
3. Je rangi yake inaendana na huyo Mdau?

Aksanteni Sana

Kwani ya dukani haishonwi? Inajengwa kama matofali au inagandishwa na gundi?😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom