Naomba Kujua Hiyo Suti Aliyovaa Mdau Ni ya Dukani Au Ni Ya kushona?

Naomba Kujua Hiyo Suti Aliyovaa Mdau Ni ya Dukani Au Ni Ya kushona?

Ahaaahaaa....langi ni nzuri kwani unjano wake umepooza ..pia pale kwenye kiuno nazani imekaa vizuri kwani imeshika vizuri maeneo ya mjomba.......kwakifupi niyakushona.....
 
Suti ni yakawaida,shida inaanzia hapo kwenye NJANO.
 
Ukilisimamia zigo kama hilo ukute alina mabonde mabonde kistu smooth lain raha sana aisee yani uchoki...
 
Huyo mwenye kuvaa rangi ya njano kajaliwa

Ova
 
all in all jua kwamba suti za kushona ndio nzuri zaidi cause inakutoshea vizuri kabisa kulingana na vipimo vyako , af tena ukaishona kwa watu wanaojua kama kina mtani bespoke au papaa pale mikocheni ooh wee hautatamani kuivua , ila andaa laki nane yako tu mzee
Naomba taarifa zaidi. Hao mabingwa wanapatikana wapi? Wanashona vizuri? gharama ya suti kali sana ni bei gani?
 
Hiyo njano imeshaini sana mpaka huyo Mwenye suti unayosema haonekani.
 
Suti ya kushona huwa iko poa sana, inabana na mwili hasa ya njano.
 
Wadau.
Napenda Sana vazi la suti.
Nimeweka picha hapa chini kwani nimependezwa Sana na suti alovaa huyo Mdau.
Naomba jua.
1 Gharama za suti hiyo?
2. Je Ni ya kushona au ya Dukani?
3. Je rangi yake inaendana na huyo Mdau?

Aksanteni Sana
Kwani za "dukani" hazishonwi?
 
zinashonwa ndio but kushona kwa designer wako mwenyewe ndio nzuri zaidi inakufit vizuri kulingana na vipimo unavotaka, inshort it's perfect plus it is much expensive
Kwani za "dukani" hazishonwi?
 
Baharia kwenye harakati zake, hiyo suti nimeielewa sana mkuu
 
all in all jua kwamba suti za kushona ndio nzuri zaidi cause inakutoshea vizuri kabisa kulingana na vipimo vyako , af tena ukaishona kwa watu wanaojua kama kina mtani bespoke au papaa pale mikocheni ooh wee hautatamani kuivua , ila andaa laki nane yako tu mzee
Kumbe zimeshuka bei.. asante kwa taarifa njema.
 
Back
Top Bottom