Naomba Kujua Hiyo Suti Aliyovaa Mdau Ni ya Dukani Au Ni Ya kushona?


Mleta uzi hana maana suti, he just wants you see that lady with heavy boobs
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeshusha baaango huyu bwege alimaanisha huyo mwenye chura hapo.
 
zinashonwa ndio but kushona kwa designer wako mwenyewe ndio nzuri zaidi inakufit vizuri kulingana na vipimo unavotaka, inshort it's perfect plus it is much expensive
Inategemea na maduka unayoenda mkuu....hata dukani pia fitting hufanyika na size husika kuendana na mwili na matakwa yako hupatikana.
Na hata bei pia inakuwa imechangamka zaidi na kuendana na bidhaa.
 
Kinachoongelewa hapo ni suti, hii suti tunayoifahamu au unaongelea 'suti'?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…