Naomba kujua huyu dada (Miner Spartan a.k.a Miner Muna) ana asili ya wapi


mbona wa kawaida!
#uzuri uko machoni kwako!
 
Huyu demu mbona walishamjadili tena hapa hiyo thread hakuchangiwa na mtu na Leo tena umeamua uje mwenyewe kuja kujipiga promo
 
Pamoja na filter kama 500... Ila hata akipita hatonishtua... Labda kalio tuu ambalo mtaani siku hiz madem wote wanayafuga
 

Nmemaliza nae mwaka jana pale chuo cha st.joseph
Nichek pm
 
Kama tulivyo watanzania hatuwezagi kujibu tulichoulizwa, mara wa kawaida, biashara matangazo etc etc mimi sijui huyo dada...
 
promo kma kawa kila muuza kabang akiwekwa hpa wekeni na no zake.....hii mitandao imewaharibu wa2 akili mambo y insta n fb malizaneni hukohuko
 
Haiingi kwa Chausiku wangu wa Ngaleloo hata nusu.
 
jamaa anaemkaza uyu demu cjawahi kutana nae ila sim,pendi hata robo na anatabia za kishoga....
 
Shemeji wee shemeji wee shem lakee weweee unanitoa udeleee wewee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…