Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Hali wadau wa JF, habari zenu.
Naomba kujua idadi ya Madarasa yaliyojengwa huko wilayani Ngorongoro. Ni kwa upande wa elimu ya Msingi na secondary.
Ikumbukwe hivi Sasa Kuna fukuto la kuwahamisha wananchi wa huko kwenda maeneo mengine. Lengo ni kuokoa hifadhi ya Crater ya Ngorongoro.
Lengo langu hasa ni kutaka kujua Kama tetesi hizi ni kweli. Ikiwa Madarsa mengi yamejengwa mwaka 2021/2022 basi huu ni uzushi. Kama hayakujengwa basi huu mpango wa kuwaondoa wakazi hao ulikuwapo tangu mwanzo.
Naomba tujadili takwimu za madarasa na maendeleo mengine. Kuhamishwa tuiache kwa sababu nyuzi zipo humu.
Asanteni nyote na karibuni.
Naomba kujua idadi ya Madarasa yaliyojengwa huko wilayani Ngorongoro. Ni kwa upande wa elimu ya Msingi na secondary.
Ikumbukwe hivi Sasa Kuna fukuto la kuwahamisha wananchi wa huko kwenda maeneo mengine. Lengo ni kuokoa hifadhi ya Crater ya Ngorongoro.
Lengo langu hasa ni kutaka kujua Kama tetesi hizi ni kweli. Ikiwa Madarsa mengi yamejengwa mwaka 2021/2022 basi huu ni uzushi. Kama hayakujengwa basi huu mpango wa kuwaondoa wakazi hao ulikuwapo tangu mwanzo.
Naomba tujadili takwimu za madarasa na maendeleo mengine. Kuhamishwa tuiache kwa sababu nyuzi zipo humu.
Asanteni nyote na karibuni.