Naomba kujua juu ya kadhi court

Naomba kujua juu ya kadhi court

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917
as-salāmu ʿalaikum, wanajamvi

Mie naomba kuuliza kuhusu Kadhi Court; Je ikianzishwa mahakimu watakuwa wakina nani? Je mahakimu wetu hawa wa sheria za Jamhuri wataruhusiwa kusikiliza kesi hizo? yaani tuseme kama mama Munuo (mwanamke) pale...anapigwa course miezi sita ya sheria za Kiislam halafu anatoa hukumu! Na kama haruhusiwi mtu yeyote zaidi ya Ma-sheik (yaani wale wenye imani ya kiislam), Je kesi zenyewe zitafanyika wapi? katika majengo ya mahakama ya Jamhuri au? na kama ni majengo hayo, ni kwanini wahusika wakubali ku-share majengo sehemu yasiyo takatifu kutoa hukumu yenye itikadi za kiimani ilhali wawe tayari kukataa wataalam yaani ma-judge waliopo kuzihukumu kesi hizo kama Afrika kusini (iliyo incorporate Kadhi laws in the main stream laws)? huo u-radical unatoka wapi? na kwanini watake pia kutumia funds toka serikali ya Jamhuri ambayo inakusanya kodi kwa hata wale wasio waislam maana hapa kuna swala la imani flani sasa kama unakataa mtu asikusomee hukumu kwa vile si mtu wa imani yako sasa suala la fedha za uendeshaji linakaaje kaaje?

NOTE

hayo ni maswali tu sina nia ya kumbughudhi mtu naomba ustaarabu katika kujibu tupate logical sense...
 
as-salāmu ʿalaikum, wanajamvi

Mie naomba kuuliza kuhusu Kadhi Court; Je ikianzishwa mahakimu watakuwa wakina nani? Je mahakimu wetu hawa wa sheria za Jamhuri wataruhusiwa kusikiliza kesi hizo? yaani tuseme kama mama Munuo (mwanamke) pale...anapigwa course miezi sita ya sheria za Kiislam halafu anatoa hukumu! Na kama haruhusiwi mtu yeyote zaidi ya Ma-sheik (yaani wale wenye imani ya kiislam), Je kesi zenyewe zitafanyika wapi? katika majengo ya mahakama ya Jamhuri au? na kama ni majengo hayo, ni kwanini wahusika wakubali ku-share majengo sehemu yasiyo takatifu kutoa hukumu yenye itikadi za kiimani ilhali wawe tayari kukataa wataalam yaani ma-judge waliopo kuzihukumu kesi hizo kama Afrika kusini (iliyo incorporate Kadhi laws in the mai stream laws)? huo u-radical unatoka wapi? na kwanini watake pia kutumia funds toka serikali ya Jamhuri ambayo inakusanya kodi kwa hata wale wasio waislam maana hapa kuna swala la imani flani sasa kama unakataa mtu asikusomee hukumu kwa vile si mtu wa imani yako sasa suala la fedha za uendeshaji linakaaje kaaje?

NOTE

hayo ni maswali tu sina nia ya kumbughudhi mtu naomba ustaarabu katika kujibu tupate logical sense...


Mashekhe na Maimamu, watakuwa wanaendesha hizo kesi Misikitini.
 
Mbona unonekana unajua tayari, umeshajua zitakuwa radical, zitatumia kodi yako etc. Why waste ur time asking silly questions? Just invite ur fanatical members muanze kutukana. Do not wory mods are in our side, they won't mind!
 
Mbona unonekana unajua tayari, umeshajua zitakuwa radical, zitatumia kodi yako etc. Why waste ur time asking silly questions? Just invite ur fanatical members muanze kutukana. Do not wory mods are in our side, they won't mind!
Nitumie neno ubaguzi basi badala ya U-radical maana i thought ni appropriate word compare to extremism...au kiingereza kigumu jamani? niambie neno la kutumia litakalokupendeza
 
Hizi Mahakama ni Ibada za Waislamu! Itakuwa kichekesho kwa Ibada kufanyikia nje ya msikiti! Waislamu waendeshe Ibada yao ya kikadhi kwa fedha zao misikitini, hakuna atakayewasumbua!
 
..binafsi sina tatizo na serikali kuwasaidia kifedha kuendesha mahakama za Kadhi.

..tatizo litakuja pale mahakama hizo zitakapotumbukizwa ndani ya katiba na serikali kuwa na mamlaka ya kumteua Kadhi Mkuu kama kule Zanzibar.

..suala hilo lilizua utata mkubwa pale Waziri Adam Mwakanjuki, Mkristo, alipotekeleza wajibu wake wa kupendekeza jina la Kadhi Mkuu, ili ateuliwe na Raisi wa SMZ.
 
kuwaadhibu mapdrio wote wanaobaka vitoto vidgo kwenye madhbahu wanaopelekwa kutakaswa. angalau watoto wapate amani

Mkuu jitahidi kushirikisha ubongo! Hata kama unafanya kazi Msikitini ama Madrasa onyesha weledi wako. Hujui kuandika wewe ni Ngumbaru
 
kazi kubwa ni kuwakamata mapdri wote wanaobaka watoto na kuwachapa bakora hadharani

MOD tunawaomba mtusaidie huyu jamaa ana shusha hadhi ya great thinkers! hii ni kitu gani?
 
as-salāmu ʿalaikum, wanajamvi

Mie naomba kuuliza kuhusu Kadhi Court; Je ikianzishwa mahakimu watakuwa wakina nani? Je mahakimu wetu hawa wa sheria za Jamhuri wataruhusiwa kusikiliza kesi hizo? yaani tuseme kama mama Munuo (mwanamke) pale...anapigwa course miezi sita ya sheria za Kiislam halafu anatoa hukumu! Na kama haruhusiwi mtu yeyote zaidi ya Ma-sheik (yaani wale wenye imani ya kiislam), Je kesi zenyewe zitafanyika wapi? katika majengo ya mahakama ya Jamhuri au? na kama ni majengo hayo, ni kwanini wahusika wakubali ku-share majengo sehemu yasiyo takatifu kutoa hukumu yenye itikadi za kiimani ilhali wawe tayari kukataa wataalam yaani ma-judge waliopo kuzihukumu kesi hizo kama Afrika kusini (iliyo incorporate Kadhi laws in the main stream laws)? huo u-radical unatoka wapi? na kwanini watake pia kutumia funds toka serikali ya Jamhuri ambayo inakusanya kodi kwa hata wale wasio waislam maana hapa kuna swala la imani flani sasa kama unakataa mtu asikusomee hukumu kwa vile si mtu wa imani yako sasa suala la fedha za uendeshaji linakaaje kaaje?

NOTE

hayo ni maswali tu sina nia ya kumbughudhi mtu naomba ustaarabu katika kujibu tupate logical sense...

Unaonekana majibu unayo, maana maswali yako hayakukaa kuuliza! ............ yaani umejichanganya changanya tuu ! hebu jipange uje tena, kuwa huru!
 
kuwaadhibu mapdrio wote wanaobaka vitoto vidgo kwenye madhbahu wanaopelekwa kutakaswa. angalau watoto wapate amani
mbona haiwaadhibu wale masultan mababwa wa Saudia Arabia walio Riyadh a stone throw away from Mecca and Medina? mmoja amedakwa juzi landani baada ya kuua mwandani wake! au mkuki kwa nguruwe? na wale wanaokuja Loliondo na Zanzibar? huwa wanakuja na mabwabwa imported toka Ulaya kujivinjari nayo...
 
sasa kwa nini kodi yangu mie ichakachuliwe kuendesha masuala ya misikiti? au kiroho?

Kwani unalipa peke yako? ndio maana umeambiwa ulikua unauliza majibu na si maswali !
Hivi kodi yako aliyo ichakachua RA na EL umewahi kuidai?
 
Kwani unalipa peke yako? ndio maana umeambiwa ulikua unauliza majibu na si maswali !
Hivi kodi yako aliyo ichakachua RA na EL umewahi kuidai?
nitaidai vp wakati nikikemea mnadai mie naichukia serikali ya Kikwete ati kwa vile sio dini yangu
 
Hizi Mahakama ni Ibada za Waislamu! Itakuwa kichekesho kwa Ibada kufanyikia nje ya msikiti! Waislamu waendeshe Ibada yao ya kikadhi kwa fedha zao misikitini, hakuna atakayewasumbua!

Kwani Fedha ambazo si "zao" ni zipi??
 
hahahaha. kwanini usiichukie gov awamu ya kwanza kwa umaskini huu
at least baba yangu mie alisoma bure na umaskini ule! mie bana sitaki kodi yangu itumike hivyo nyie mna matajiri wengii nchi hii wakina Bakhresa, Mohammed Enterprises, Rostam Aziz, Abood na wengineo mnaweza anzisha Kadhi fund mahakama zikasimama watu wakala shuluba yao kama imani inavyoruhusu bila ya kuniibia mie! mie ninunulieni dawa hospitali.....! Mnaninyanyapaa hivyoooo...
 
Hizi Mahakama ni Ibada za Waislamu! Itakuwa kichekesho kwa Ibada kufanyikia nje ya msikiti! Waislamu waendeshe Ibada yao ya kikadhi kwa fedha zao misikitini, hakuna atakayewasumbua!
Hii si Ibada bali ni taratibu ya maisha ya watu wanaomjua Mungu wa Kweli. Kuhusu kodi zenu mbona hamna kodi nyie kwani yote inaishia katika misamahja mnayoomba!1
 
Back
Top Bottom