Naomba kujua juu ya kadhi court

Naomba kujua juu ya kadhi court

Utaelewa tuu!............... Rostam ana abudu miti kama wewe, na si Muislam, jina lisikushughulishe sana. Unaweza kufuga Mmbwa ukamwita Rostam pia! uliza kama hujui!

Rangi nyekundu inamaana gani hapo juu? Mimi nafunga Nguruwe...kama unataka maziwa yake weka order
 
Rangi nyekundu inamaana gani hapo juu? Mimi nafunga Nguruwe...kama unataka maziwa yake weka order
astaghafulilai... Mtumeeee... wataka kumnywesha mwenzio maziwa ya nguruwe! heheheh nina uhakika mngekuwa live ashangekuchapa kofiii...taratibu jamani
 
as-salāmu ʿalaikum, wanajamvi

Mie naomba kuuliza kuhusu Kadhi Court; Je ikianzishwa mahakimu watakuwa wakina nani? Je mahakimu wetu hawa wa sheria za Jamhuri wataruhusiwa kusikiliza kesi hizo? yaani tuseme kama mama Munuo (mwanamke) pale...anapigwa course miezi sita ya sheria za Kiislam halafu anatoa hukumu! Na kama haruhusiwi mtu yeyote zaidi ya Ma-sheik (yaani wale wenye imani ya kiislam), Je kesi zenyewe zitafanyika wapi? katika majengo ya mahakama ya Jamhuri au? na kama ni majengo hayo, ni kwanini wahusika wakubali ku-share majengo sehemu yasiyo takatifu kutoa hukumu yenye itikadi za kiimani ilhali wawe tayari kukataa wataalam yaani ma-judge waliopo kuzihukumu kesi hizo kama Afrika kusini (iliyo incorporate Kadhi laws in the main stream laws)? huo u-radical unatoka wapi? na kwanini watake pia kutumia funds toka serikali ya Jamhuri ambayo inakusanya kodi kwa hata wale wasio waislam maana hapa kuna swala la imani flani sasa kama unakataa mtu asikusomee hukumu kwa vile si mtu wa imani yako sasa suala la fedha za uendeshaji linakaaje kaaje?

NOTE

hayo ni maswali tu sina nia ya kumbughudhi mtu naomba ustaarabu katika kujibu tupate logical sense...

Mie ninaomba nikuulize maswali yafuatayo kabla sijakujibu maswali yako.

a. Kwani mahakama za tanzania zinaendeshwa na wanawake peke yao kwanini usiulize zinaendeshwa na watu gani?
b. Course ya miezi sita ndio inamfanya mtu awe hakimu katika mahakama za kawaida?
c. Nani amekuambia mahakama ya kadhi ni takatifu?
d. Je mahakama za sasa zinahudumiwa na nani? Na je waislamu hawalipi kodi?


Naomba majibu ndugu .
 
Ibara ya 19 (2)
KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

"Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi."

Je nikuulize swali utekelezaji wa sheria nchini hufanywa na nani? Na katika sheria hizo nafasi ya sheria za mirathi na ndoa zinakaa wapi? Utajaza mwenyewe.
 
Ingekua vizuri zaidi km wangeanza na mashekhe washilikina (yahaya),tunao kula nao kiti moto mitaa ya sinza ,nawale magaidi.natumaini kodi yangu itakuwa imeenda kihalali hapo.
 
Ingekua vizuri zaidi km wangeanza na mashekhe washilikina (yahaya),tunao kula nao kiti moto mitaa ya sinza ,nawale magaidi.natumaini kodi yangu itakuwa imeenda kihalali hapo.

Kwani wewe peke yako unalipa kodi wewe vp? Na mie kodi yangu inaenda wapi? Kila mwezi nalipa karibia Tshs 1.5 million naomba serikali iniambie wanaitumaje acheni kutuzingua bwana.
 
Ibara ya 19 (2)
KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

"Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi."

Ukiyasoma maneno haya na kuyatafakari utagundua walioyatoa na kuyaandika walikuwa na akili na waliona mbali. Lakini tunaweza tukawaendekeza wapumbavu wakatuletea kuchanganya dini na mamlaka ya nchi isiyo na dini. Tukiwakubalia ikatokea hivyo, tutavurugana sana na mwisho wa siku tutakuta hakuna mshindi. Watakaobahatika kuwa wamesalimika wakaishi watakaa watajadiliana wapi tumekosea na mwisho wa siku watarudi palepale kuwa mamlaka ya nchi yasichanganywe na ya dini, nchi yetu wananchi wake wana dini mbalimbali huo ndio ukweli, kamwe hautapingika, tupende tusipende utasimama kama si leo basi kesho.
 
Ukiyasoma maneno haya na kuyatafakari utagundua walioyatoa na kuyaandika walikuwa na akili na waliona mbali. Lakini tunaweza tukawaendekeza wapumbavu wakatuletea kuchanganya dini na mamlaka ya nchi isiyo na dini. Tukiwakubalia ikatokea hivyo, tutavurugana sana na mwisho wa siku tutakuta hakuna mshindi. Watakaobahatika kuwa wamesalimika wakaishi watakaa watajadiliana wapi tumekosea na mwisho wa siku watarudi palepale kuwa mamlaka ya nchi yasichanganywe na ya dini, nchi yetu wananchi wake wana dini mbalimbali huo ndio ukweli, kamwe hautapingika, tupende tusipende utasimama kama si leo basi kesho.

So unataka kutuambia kuwa waislamu hawadeserve haki ya msingi ya kisheria nchini? Waliotunga hiyo katiba vilevile waliona mbali wakairuhusu mahakama ya kadhi. Ghafla ikaja kuondolewa kwa vigezo hadi leo waislamu hawavijui je nikuulize wewe waliona mbali wapi?
 
Mie ninaomba nikuulize maswali yafuatayo kabla sijakujibu maswali yako.

a. Kwani mahakama za tanzania zinaendeshwa na wanawake peke yao kwanini usiulize zinaendeshwa na watu gani?
b. Course ya miezi sita ndio inamfanya mtu awe hakimu katika mahakama za kawaida?
c. Nani amekuambia mahakama ya kadhi ni takatifu?
d. Je mahakama za sasa zinahudumiwa na nani? Na je waislamu hawalipi kodi?

Majibu
a. Nimeuliza mahususi juu ya wanawake maana ninaskia dini ya ndugu zangu Waislam (ashakum si matusi) inagandamiza wanawake sasa nimetaka kujua tu? mambo ya gender equality na fursa sawa kwa wote itakuwaje!
b. Nathani kwa proper judge haitaji kuchukua zaidi ya kipindi hicho kui-enterpret Kadhi/sharia law! haswa kama itahusu mambo ya ndoa na miradhi kama mnavyodai
c. Kama si takatifu sasa kwa nini imani inaingizwa basi sioni mantiki yeyote ya kwanini hata wasio waislam wasihukumu hizo kesi! zaidi ya hapo hakuna haja ya hiyo mahakama ni upotezaji wa rasilimali
d.Zinahudumiwa na dini zote kwa mujibu wa katiba pasipo kuwa na mrengo wa itikadi yeyote ya kidini inayoweza kumbagua mtu ndani ya jamhuri! Waislam pia wanalipa kodi na ningefurahi kama wangeongezewa kodi wao TU!!!! kuendesha hiyo mahakama na sio kodi yangu mie ipunguzwe katika kuhudumia mambo yanihusuyo mie iende kuhudumia mahakama ya kiitikadi za mwingine !


Naomba majibu ndugu .
Majibu
a. Nimeuliza mahususi juu ya wanawake maana ninaskia dini ya ndugu zangu Waislam (ashakum si matusi) inagandamiza wanawake sasa nimetaka kujua tu? mambo ya gender equality na fursa sawa kwa wote itakuwaje!
b. Nathani kwa proper judge haitaji kuchukua zaidi ya kipindi hicho kui-enterpret Kadhi/sharia law! haswa kama itahusu mambo ya ndoa na miradhi kama mnavyodai
c. Kama si takatifu sasa kwa nini imani inaingizwa basi sioni mantiki yeyote ya kwanini hata wasio waislam wasihukumu hizo kesi! zaidi ya hapo hakuna haja ya hiyo mahakama ni upotezaji wa rasilimali
d.Zinahudumiwa na dini zote kwa mujibu wa katiba pasipo kuwa na mrengo wa itikadi yeyote ya kidini inayoweza kumbagua mtu ndani ya jamhuri! Waislam pia wanalipa kodi na ningefurahi kama wangeongezewa kodi wao TU!!!! kuendesha hiyo mahakama na sio kodi yangu mie ipunguzwe katika kuhudumia mambo yanihusuyo mie iende kuhudumia mahakama ya kiitikadi za mwingine !
 
Majibu
a. Nimeuliza mahususi juu ya wanawake maana ninaskia dini ya ndugu zangu Waislam (ashakum si matusi) inagandamiza wanawake sasa nimetaka kujua tu? mambo ya gender equality na fursa sawa kwa wote itakuwaje!
b. Nathani kwa proper judge haitaji kuchukua zaidi ya kipindi hicho kui-enterpret Kadhi/sharia law! haswa kama itahusu mambo ya ndoa na miradhi kama mnavyodai
c. Kama si takatifu sasa kwa nini imani inaingizwa basi sioni mantiki yeyote ya kwanini hata wasio waislam wasihukumu hizo kesi! zaidi ya hapo hakuna haja ya hiyo mahakama ni upotezaji wa rasilimali
d.Zinahudumiwa na dini zote kwa mujibu wa katiba pasipo kuwa na mrengo wa itikadi yeyote ya kidini inayoweza kumbagua mtu ndani ya jamhuri! Waislam pia wanalipa kodi na ningefurahi kama wangeongezewa kodi wao TU!!!! kuendesha hiyo mahakama na sio kodi yangu mie ipunguzwe katika kuhudumia mambo yanihusuyo mie iende kuhudumia mahakama ya kiitikadi za mwingine !

Nishakugundua wewe hutaki kuelewa endelea tu mie sijadiliani na wewe kwa kukujibu swali lako na maswali yangu ni hivi:-
a. Wanawake wanahaki sawa na wanaume ndio maana wanasoma na kuelimika (tofautisha waislamu na waarabu mkuu zinduka). Hivyo basi majudge wanaweza kuwa waislamu wanaume na wanawake. Mahali ambapo mwanamke hawezi kuongoza ni kwenye ibada tu (kama ilivyo nyie wakatoliki). Only chief kadhi ndio anatakikana awe mwanaume ila hili sina uhakika nalo sana!!!
b. Kama unadhani sharia laws zinahitaji six months basi wewe si mzima. Mwanasheria wa kawaida anatumia miaka zaidi ya minne kukamilika kuwa judge. Sharia laws degree zinachukua 4-6 years katika University mbali mbali duniani. Usidharau taaluma za watu mzee.
c. Utakatifu upo katika vitabu na sio mahakama kwani ni jengo tu. Ila vitabu ni vitakatifu kama vilivyo vitakatifu vitabu vyenu vya ibada.
d. Kwani sisi tunavyowahudumia makanisa yenu kwa kodi zetu (misamaha ya kodi inayotulazimu sisi tulipe zaidi kama mbadala) je tunachajiwa zaidi? Kwanini sasa kama tunayahudumia makanisa yenu na sisi mahakama yetu isihudumiwe?

Nadhani nimekupa majibu unayoyataka
 
Nishakugundua wewe hutaki kuelewa endelea tu mie sijadiliani na wewe kwa kukujibu swali lako na maswali yangu ni hivi:-
a. Wanawake wanahaki sawa na wanaume ndio maana wanasoma na kuelimika (tofautisha waislamu na waarabu mkuu zinduka). Hivyo basi majudge wanaweza kuwa waislamu wanaume na wanawake. Mahali ambapo mwanamke hawezi kuongoza ni kwenye ibada tu (kama ilivyo nyie wakatoliki). Only chief kadhi ndio anatakikana awe mwanaume ila hili sina uhakika nalo sana!!!
b. Kama unadhani sharia laws zinahitaji six months basi wewe si mzima. Mwanasheria wa kawaida anatumia miaka zaidi ya minne kukamilika kuwa judge. Sharia laws degree zinachukua 4-6 years katika University mbali mbali duniani. Usidharau taaluma za watu mzee.
c. Utakatifu upo katika vitabu na sio mahakama kwani ni jengo tu. Ila vitabu ni vitakatifu kama vilivyo vitakatifu vitabu vyenu vya ibada.
d. Kwani sisi tunavyowahudumia makanisa yenu kwa kodi zetu (misamaha ya kodi inayotulazimu sisi tulipe zaidi kama mbadala) je tunachajiwa zaidi? Kwanini sasa kama tunayahudumia makanisa yenu na sisi mahakama yetu isihudumiwe?

Nadhani nimekupa majibu unayoyataka
mie sie mkatoliki babake mie kama wewe ila ni mzalendo zaidi sitaki katiba iingize udini
d. hata Waislam hupata hiyo misamaha haswa kwenye kujenga misikiti uliza ule wa Butiama na Dodoma kama walilipa kodi mie nilishiriki kujenga na ninafahamu uache kupotosha. Pia mahospitali na mashule nenda BAKWATA wakuonyeshe! halafu pili hata sie tunasoma hizo shule! hakatazwi mtu... na kama sharia law inachukua miaka minne kuisoma ili uwe judge then safari yetu ni ndefu maana nina uhakika hata watu kumi hawafiki wenye ujuzi huo hapa Tanzania!
 
mie sie mkatoliki babake mie kama wewe ila ni mzalendo zaidi sitaki katiba iingize udini
d. hata Waislam hupata hiyo misamaha haswa kwenye kujenga misikiti uliza ule wa Butiama na Dodoma kama walilipa kodi mie nilishiriki kujenga na ninafahamu uache kupotosha. Pia mahospitali na mashule nenda BAKWATA wakuonyeshe

Hebu nipe statistics basi comparison baina ya waislamu na wakristo kuhusu hiyo misamaha ya kodi kama hujakuta what you are just saying is just a peanut to what makanisa wamefaidika na misamaha ya kodi tangu walivyo mastermind MOU yao na Lowassa. Yet Lowassa huyo huyo anadai sasa kuna haja ya katiba mpya. He makes me feel sick!!!!
 
Hebu nipe statistics basi comparison baina ya waislamu na wakristo kuhusu hiyo misamaha ya kodi kama hujakuta what you are just saying is just a peanut to what makanisa wamefaidika na misamaha ya kodi tangu walivyo mastermind MOU yao na Lowassa. Yet Lowassa huyo huyo anadai sasa kuna haja ya katiba mpya. He makes me feel sick!!!!
misamaha hiyo haibagui na haivunji katiba usifananishe vitu hivyo viwili... sisi Waislam naona tunajisahau tukifikiri tuko sisi tu wenye haki juu ya katiba! vilevile tunashindwa kuchangamkia fursa za maendeleo!
 
misamaha hiyo haibagui na haivunji katiba usifananishe vitu hivyo viwili... sisi Waislam naona tunajisahau tukifikiri tuko sisi tu wenye haki juu ya katiba!

Well misamaha hiyo ilikuwa ikibagua mpaka alipofika muislamu katika wizara fulani akaona hayo madudu ndio ikaanza kuwa haibagui naomba usiseme uongo mkuu. Hakuna muislamu anayejiona yuko juu ya katiba ila waislamu wanachodai ni fairness kwenye katiba. Serikali inadai haina dini yet inaenda kusign makubaliano na kanisa sasa hapa vp wanameza matapishi yao wenyewe?
 
Well misamaha hiyo ilikuwa ikibagua mpaka alipofika muislamu katika wizara fulani akaona hayo madudu ndio ikaanza kuwa haibagui naomba usiseme uongo mkuu. Hakuna muislamu anayejiona yuko juu ya katiba ila waislamu wanachodai ni fairness kwenye katiba. Serikali inadai haina dini yet inaenda kusign makubaliano na kanisa sasa hapa vp wanameza matapishi yao wenyewe?
kipindi cha Nyerere kulikuwa hamna misamaha na alinyang'anya shule zote kama Pugu, Minaki, Kilakala na Tabora Boys. Hicho ndicho nachojua misamaha imeletwa na Mwinyi kwa upeo wake uliotukuka tatizo letu sie ni BAKWATA haina mipango bora! tuache unafki
 
Back
Top Bottom