Naomba kujua juu ya kadhi court

Naomba kujua juu ya kadhi court

hahahaha, umesikia ya wikili kwamba vatican yaficha siri na yakataa kutoa ushahidi wa mapadri wabakaji? sasa kazi ya kwanza kadhi ni kuwatafuta na kuwaadhibu mapadri hao

Unaibisha waislam wenzako walau walio na elimu na ustaarabu! Wewe hata kama ni shekhe respect imani za wenzako. Nina wasi wasi hata uislamu huujui kabisa umebakia kupiga filimbi.
 
MOD tunawaomba mtusaidie huyu jamaa ana shusha hadhi ya great thinkers! hii ni kitu gani?

How about this below

quote_icon.png
Originally Posted by yaya
kazi kubwa ni kuwakamata mapdri wote wanaobaka watoto na kuwachapa bakora hadharani



Mngeaza kumkamata ngumbaru mohd kwa kumbaka aisha
 
Hii si Ibada bali ni taratibu ya maisha ya watu wanaomjua Mungu wa Kweli. Kuhusu kodi zenu mbona hamna kodi nyie kwani yote inaishia katika misamahja mnayoomba!1

Hata mie nawashangaa!!.................... wamekazana kodi yetu kodi yetu ! wakati wanaimaliza na misamaha !
 
mbona haiwaadhibu wale masultan mababwa wa Saudia Arabia walio Riyadh a stone throw away from Mecca and Medina? mmoja amedakwa juzi landani baada ya kuua mwandani wake! au mkuki kwa nguruwe? na wale wanaokuja Loliondo na Zanzibar? huwa wanakuja na mabwabwa imported toka Ulaya kujivinjari nayo...
Kwa punzi zako inaonekana unayakosa hayo. Au nyie ndio mliotengwa na KKT kwa kupendelea hiyo shughuli na nasikia inabidi lazima iwe change bin change katika huo mchezo wenu!!
 
Unaibisha waislam wenzako walau walio na elimu na ustaarabu! Wewe hata kama ni shekhe respect imani za wenzako. Nina wasi wasi hata uislamu huujui kabisa umebakia kupiga filimbi.

Wewe na wenzio mngekuwa na respect na Imani za wenzenu, msingejishughulisha kabisa na hili, kwakuwa haliwagusi wala haliwapunguzi kitu. Ila kwa kuwa mna wivu na roho mbaya .......... basi bora mkeshi! halali mtu humu, bandika bandua!!
 
Wale wale!


Huwezi kupata wengine kwani kama si bosi wako ni jirani wako, kama si mfanyakazi wako ni shemegi yako. Usichotambua wewe ni kuwa wewe na dini yako na sisi na dini yetu sote ni Watanzania na unapoleta kejeli kwa wenzako unasahau kuwa ni kazi kubwa kujenga ustaarabu kuliko kuiga kejeli.
 
at least baba yangu mie alisoma bure na umaskini ule! mie bana sitaki kodi yangu itumike hivyo nyie mna matajiri wengii nchi hii wakina Bakhresa, Mohammed Enterprises, Rostam Aziz, Abood na wengineo mnaweza anzisha Kadhi fund mahakama zikasimama watu wakala shuluba yao kama imani inavyoruhusu bila ya kuniibia mie! mie ninunulieni dawa hospitali.....! Mnaninyanyapaa hivyoooo...

Huyo Rostam hayuko kwetu, ni mpagani kama wewe ndio maana yuko bize na Ufisadi, Hao uliwataja juu ni walipa kodi wazuri kama wewe na ndio hela ya kodi ya serikali kuendesha hiyo mahakama itakapotokea, usijifanye unalipa kodi wewe na baba ako tu!
 
Huyo Rostam hayuko kwetu, ni mpagani kama wewe ndio maana yuko bize na Ufisadi, Hao uliwataja juu ni walipa kodi wazuri kama wewe na ndio hela ya kodi ya serikali kuendesha hiyo mahakama itakapotokea, usijifanye unalipa kodi wewe na baba ako tu!

Ona Juha huyu anavyochakatuka. Pole weee
 
Huwezi kupata wengine kwani kama si bosi wako ni jirani wako, kama si mfanyakazi wako ni shemegi yako. Usichotambua wewe ni kuwa wewe na dini yako na sisi na dini yetu sote ni Watanzania na unapoleta kejeli kwa wenzako unasahau kuwa ni kazi kubwa kujenga ustaarabu kuliko kuiga kejeli.

Crap!
 
Ibara ya 19 (2)
KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

"Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi."
 
Pole wewe usie juu kama Rostam ni muabudu miti kama wewe! una babaika na jina?
Kutwa anachangia Makanisa na Kwaya (umesahau skandali ya Kinondoni?)


Wengine hujificha kwenye majina kuepuka ukweli. Unafikiri ana uwezo wa kunyoosha mkono ? huyo ni spoonfeeding!
 
Ibara ya 19 (2)
KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

"Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi."

Usijidanganye! Na Serikali itajishughulisha na mambo ya nani iwapo itakuwa haishughuliki na mambo ya watu wake? Naona kuna Wizara ya Michezo, Kuna wizara ya Katiba na Sheria haya yote haykupi jibu kuwa Serikali ni wajibu wake kwa mambo ya wananchi wake?
 
Back
Top Bottom