Naomba kujua Kipenyo Cha Simtank 10000 litres na 8000 litres

Naomba kujua Kipenyo Cha Simtank 10000 litres na 8000 litres

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Hii nchi imejaa vilaza sana, Leo nimezunguka maduka zaidi ya matano , nahitaji simtank , lakini kabla sijanunua niliwauliza je naweza kupata specifications za matank mliyonayo haswa katika upande wa vipimo.

Wakaniambia wao hawajua na hawana specification, hivyo tuchukue futi tupime, hatukuweza kupata vipimo sahihi, basi nikarudi Kwa kaka yangu google na kumuuliza specifications za simtank za lita 10,000 na 8000, lakini sijapata jawabu. Sasa nashangaa je taarifa hizi ni Siri au shida Nini. Kwanini hizi taarifa muhimu hawaweki mitandaoni, siku moja nimeenda dukani nikaona marumaru moja, nikamuuliza je hii box moja inajenga square meter ngapi, akanambia hajui , na Wala ye si fundi, yeye anauza Kwa box shilingi hiyo

Sasa nimeamua kuja jamvini Kwa watu wenye akili zao, naombeni msaada wa vipimo vya simtank ya lita 5000, 8000 na 10000 Kwa maana ya height na diameter???
 
Hii nchi imejaa vilaza sana, Leo nimezunguka maduka zaidi ya matano , nahitaji simtank , lakini kabla sijanunua niliwauliza je naweza kupata specifications za matank mliyonayo haswa katika upande wa vipimo.

Wakaniambia wao hawajua na hawana specification, hivyo tuchukue futi tupime, hatukuweza kupata vipimo sahihi, basi nikarudi Kwa kaka yangu google na kumuuliza specifications za simtank za lita 10,000 na 8000, lakini sijapata jawabu. Sasa nashangaa je taarifa hizi ni Siri au shida Nini. Kwanini hizi taarifa muhimu hawaweki mitandaoni, siku moja nimeenda dukani nikaona marumaru moja, nikamuuliza je hii box moja inajenga square meter ngapi, akanambia hajui , na Wala ye si fundi, yeye anauza Kwa box shilingi hiyo

Sasa nimeamua kuja jamvini Kwa watu wenye akili zao, naombeni msaada wa vipimo vya simtank ya lita 5000, 8000 na 10000 Kwa maana ya height na diameter???
Ulitumia tape gani kupima ukashindwa kupata height na diamater??

Huyo kaka yako google uliemtumia itakuwa ni wa kizimkazi.

Hii ni standard results, inaweza kutofautiana na model husika unayotaka. Ila measuring tape yeyote inaweza kutumika kupima na kukupa jibu.
Screenshot_20240822_221416_Chrome.jpg
 
Ni ngumu kujua kwa sababu:
1. Mengine yana kipenyo(diameter) kikubwa na urefu(height) ndogo. Mf. Tritank
2. Mengine yana kipenyo kidogo na urefu mkubwa...mf. simtank

Wao wakupe specs tu hakuna namna.
 
Huna akili ww ww uliwaona wauzaji hawana akili vilaza na sisi tunakuona ww zumbu kuku vilevile we unashindwa kujua
Hii nchi imejaa vilaza sana, Leo nimezunguka maduka zaidi ya matano , nahitaji simtank , lakini kabla sijanunua niliwauliza je naweza kupata specifications za matank mliyonayo haswa katika upande wa vipimo.

Wakaniambia wao hawajua na hawana specification, hivyo tuchukue futi tupime, hatukuweza kupata vipimo sahihi, basi nikarudi Kwa kaka yangu google na kumuuliza specifications za simtank za lita 10,000 na 8000, lakini sijapata jawabu. Sasa nashangaa je taarifa hizi ni Siri au shida Nini. Kwanini hizi taarifa muhimu hawaweki mitandaoni, siku moja nimeenda dukani nikaona marumaru moja, nikamuuliza je hii box moja inajenga square meter ngapi, akanambia hajui , na Wala ye si fundi, yeye anauza Kwa box shilingi hiyo

Sasa nimeamua kuja jamvini Kwa watu wenye akili zao, naombeni msaada wa vipimo vya simtank ya lita 5000, 8000 na 10000 Kwa maana ya height na di
 
Hii nchi imejaa vilaza sana, Leo nimezunguka maduka zaidi ya matano , nahitaji simtank , lakini kabla sijanunua niliwauliza je naweza kupata specifications za matank mliyonayo haswa katika upande wa vipimo.

Wakaniambia wao hawajua na hawana specification, hivyo tuchukue futi tupime, hatukuweza kupata vipimo sahihi, basi nikarudi Kwa kaka yangu google na kumuuliza specifications za simtank za lita 10,000 na 8000, lakini sijapata jawabu. Sasa nashangaa je taarifa hizi ni Siri au shida Nini. Kwanini hizi taarifa muhimu hawaweki mitandaoni, siku moja nimeenda dukani nikaona marumaru moja, nikamuuliza je hii box moja inajenga square meter ngapi, akanambia hajui , na Wala ye si fundi, yeye anauza Kwa box shilingi hiyo

Sasa nimeamua kuja jamvini Kwa watu wenye akili zao, naombeni msaada wa vipimo vya simtank ya lita 5000, 8000 na 10000 Kwa maana ya height na diameter???

Mkuu matank hutofautiana diameter kulingana na height ya tank husika bila kujali kipimo cha ujazo. Mfano ni matank ya SIMTANK. Unaweza kuta ni lita 5,000 yote mawili, ila wana ile version ya zamani ambayo ni manene/yana mzingo mkubwa ila height sio ndefu sana, na wana haya ya sasa yenye mzingo mdogo ila ni marefu kwenda juu kufidia kiwango cha ujazo.

Upande wa tiles, ulipaswa angalia tu kwenye box maana huwa wanaandika box zima ni square meters ngapi.
 
Wewe sio mteja ,maduka matano unatafuta diameter?
1: Kuna sheet inakuwa na maelezo ungekuwa mteja ungepewa
2: ulichukua futi upime na bado umechemka, sasa nani kilaza hapo
3: kwenye kila box la tiles kunakuwa na maelezo, inajenga sq.m ngap
4: Umetumia google ipi?
Usipende kuita watu vilaza na kujiona bora
 
Wewe sio mteja ,maduka matano unatafuta diameter?
1: Kuna sheet inakuwa na maelezo ungekuwa mteja ungepewa
2: ulichukua futi upime na bado umechemka, sasa nani kilaza hapo
3: kwenye kila box la tiles kunakuwa na maelezo, inajenga sq.m ngap
4: Umetumia google ipi?
Usipende kuita watu vilaza na kujiona bora
We shida ni chadema
 
Hii nchi imejaa vilaza sana, Leo nimezunguka maduka zaidi ya matano , nahitaji simtank , lakini kabla sijanunua niliwauliza je naweza kupata specifications za matank mliyonayo haswa katika upande wa vipimo.

Wakaniambia wao hawajua na hawana specification, hivyo tuchukue futi tupime, hatukuweza kupata vipimo sahihi, basi nikarudi Kwa kaka yangu google na kumuuliza specifications za simtank za lita 10,000 na 8000, lakini sijapata jawabu. Sasa nashangaa je taarifa hizi ni Siri au shida Nini. Kwanini hizi taarifa muhimu hawaweki mitandaoni, siku moja nimeenda dukani nikaona marumaru moja, nikamuuliza je hii box moja inajenga square meter ngapi, akanambia hajui , na Wala ye si fundi, yeye anauza Kwa box shilingi hiyo

Sasa nimeamua kuja jamvini Kwa watu wenye akili zao, naombeni msaada wa vipimo vya simtank ya lita 5000, 8000 na 10000 Kwa maana ya height na diameter???
Hao ni vilaza kwa part yao na wewe kilaza vilevile.
 
Hii nchi imejaa vilaza sana, Leo nimezunguka maduka zaidi ya matano , nahitaji simtank , lakini kabla sijanunua niliwauliza je naweza kupata specifications za matank mliyonayo haswa katika upande wa vipimo.

Wakaniambia wao hawajua na hawana specification, hivyo tuchukue futi tupime, hatukuweza kupata vipimo sahihi, basi nikarudi Kwa kaka yangu google na kumuuliza specifications za simtank za lita 10,000 na 8000, lakini sijapata jawabu. Sasa nashangaa je taarifa hizi ni Siri au shida Nini. Kwanini hizi taarifa muhimu hawaweki mitandaoni, siku moja nimeenda dukani nikaona marumaru moja, nikamuuliza je hii box moja inajenga square meter ngapi, akanambia hajui , na Wala ye si fundi, yeye anauza Kwa box shilingi hiyo

Sasa nimeamua kuja jamvini Kwa watu wenye akili zao, naombeni msaada wa vipimo vya simtank ya lita 5000, 8000 na 10000 Kwa maana ya height na diameter???
We pia kilaza,

Ulishindwa vipi kupima radius au diameter pale?
Kama inacheza bas pima circumference kisha ugawe kwa "Pai" ubakiwe na diameter.
 
Mkuu matank hutofautiana diameter kulingana na height ya tank husika bila kujali kipimo cha ujazo. Mfano ni matank ya SIMTANK. Unaweza kuta ni lita 5,000 yote mawili, ila wana ile version ya zamani ambayo ni manene/yana mzingo mkubwa ila height sio ndefu sana, na wana haya ya sasa yenye mzingo mdogo ila ni marefu kwenda juu kufidia kiwango cha ujazo.

Upande wa tiles, ulipaswa angalia tu kwenye box maana huwa wanaandika box zima ni square meters ngapi.
Hivi bei zimefika ngapi kwa sasa
 
Hivi bei zimefika ngapi kwa sasa
Hapo katikati zilipanda kiasi chake. Simtank la lota 3000 lilifikia around 800k+.

Kwa sasa sijajua bei zinaendaje. Ila kampuni ziko tofauti tofauti, so na bei pia zinatofautiana kulingana na kampuni.
 
Back
Top Bottom