Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa uzima.Huu hapa
Hii huwa ni kama kazi ya kujitolea, mradi unapokuja unaohusu masuala ya afya na unahitaji hao watu basi hao hutumika. Mishahara yao hutegemea na bajeti ya shirika husika lakini sio mikubwaKaka io ni permanent ajira au temporary
Hamna kuna tangazo lilitoka kwa baadhi ya mikoa kk wanataka kuajiri nataka nijue either nipige chini kama hela kidg but lina hela lilitangazwa na or tamisemi kkHii huwa ni kama kazi ya kujitolea, mradi unapokuja unaohusu masuala ya afya na unahitaji hao watu basi hao hutumika. Mishahara yao hutegemea na bajeti ya shirika husika lakini sio mikubwa
kama una mishe ya maana achana nayo lakini kama upo kitaa unaungaunga pita nayo hiyo connection huwa zinaanzia hukoHamna kuna tangazo lilitoka kwa baadhi ya mikoa kk wanataka kuajiri nataka nijue either nipige chini kama hela kidg but lina hela lilitangazwa na or tamisemi kk
Kuna donors huwa wanatoa fund za kutekeleza miradi kupitia serikali mfano UNICEF wao wanatoa fund kwa serikali na miradi inatekelezwa na serikali hivyo watu kama hao lazima wahitajike ndo maana hizo nafasi pengine zimetangazwaHamna kuna tangazo lilitoka kwa baadhi ya mikoa kk wanataka kuajiri nataka nijue either nipige chini kama hela kidg but lina hela lilitangazwa na or tamisemi kk
Naelewa vizuri kk nazan sasa utakuwa ni mpango ulioboreshwa zaidi ili kukidhi ongezeko la watu maginjwa na vifo vya mama na mtoto hasa huko vijijiniKuna donors huwa wanatoa fund za kutekeleza miradi kupitia serikali mfano UNICEF wao wanatoa fund kwa serikali na miradi inatekelezwa na serikali hivyo watu kama hao lazima wahitajike ndo maana hizo nafasi pengine zimetangazwa
Posho Kama ya sh.ngapi?Hawa huwa si ni wa kujitolea!
Hawana mshahara.
Ukija mradi ndio wanapata posho.
Kama ni hilo posho ni 100,000...Ndio akuna lengine ni lile lile