Namnukuu waziri was afya siku ya uzinduzi wa hiki kitengo mbele ya mh makamu wa rais"tumeamu kuajiri wanajeshi tutakaokuwa tunawatanguliza katika Vita yoyote ya janga kiafya kupambana kabla haijafka hatua ya kitaifa,katika wakati huu hatutamwajiri mtu kutoka tanga kwenda kigoma Bali atatoka katika jamii hiyohiyo anaejua tamaduni hata lugha za eneo husika,watapewa mafunzo miezi sita ,watakuwa na uwezo wa kuibua wagonjwa katika jamii na kutafuta suruhu ili kuondoa msongamano katika vituo vyetu vya afya ieleweke mafunzo haya Ni tofauti kabisa na yale yaliyokwisha tangulia, tutamlipa posho ya kila mwezi,mwisho wa kunukuu .Sasa hapo posho ndo kiasi
Namnukuu waziri was afya siku ya uzinduzi wa hiki kitengo mbele ya mh makamu wa rais"tumeamu kuajiri wanajeshi tutakaokuwa tunawatanguliza katika Vita yoyote ya janga kiafya kupambana kabla haijafka hatua ya kitaifa,katika wakati huu hatutamwajiri mtu kutoka tanga kwenda kigoma Bali atatoka katika jamii hiyohiyo anaejua tamaduni hata lugha za eneo husika,watapewa mafunzo miezi sita ,watakuwa na uwezo wa kuibua wagonjwa katika jamii na kutafuta suruhu ili kuondoa msongamano katika vituo vyetu vya afya ieleweke mafunzo haya Ni tofauti kabisa na yale yaliyokwisha tangulia, tutamlipa posho ya kila mwezi,mwisho wa kunukuu .Sasa hapo posho ndo kiasi gani hatujiu
We kweli hapo kazini kuna kazi na hizo poshoo