Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posho plus salary ni ndogo sana ukilinganisha na majukumu ya kazi yenyewe150,000 Hadi 210,000
kazi za kujitolea hzo hamna maslahi humo sema kama hujakaa vzuri unafanya tu upate chochote... ila naskia kwenye ishu ya mafunzo mnapewa na posho150,000 Hadi 210,000
Wanalipwa na nani ?Nasikia wanalipa siku hizi sio kujitolea
Tatizo mnachanganya,walizotangaza mikoa 10 ya awali ni mradi tu wa miaka 5 na unajitolea ila kuna posho ya laki ndio maana walitaka watu wa kitongoji au mtaa husika na wenye elimu ya kidato cha 4 tu,wizara ya afya haiajiri mtu asiy na taaluma ya afya then akajihusishe na mambo ya afya ya binadamu, na age walitaka mpaka miaka 55 kitu ambacho kwa umri huo uingii kwenye utumishi wa umma ambapo age ya mwisho ni 45 yearsSidhani Kama itakuwa 1k sababu kwa Sasa CHW
wameiweka chini ya wizara ya afya Kama ngazi ya kwanza kabisa ya watumishi wa wizara ya afya,hivyo wataingizwa kwenye mfumo wa utumishi wa uma,kingine tumarupurupu twa semina tutakuwa twingi maana kila tukio la kiafya mtaani kwenu nyie ndo mnafanya ,iwe chanjo,matukio ya dharura ya kiafya kwenye jamii nyie ndo wa kwanza kufika hivyo mpunga utakuepo .
Oyoooo safi sana kk wacha tupige hela kwanza sisi joblessSidhani Kama itakuwa 1k sababu kwa Sasa CHW
wameiweka chini ya wizara ya afya Kama ngazi ya kwanza kabisa ya watumishi wa wizara ya afya,hivyo wataingizwa kwenye mfumo wa utumishi wa uma,kingine tumarupurupu twa semina tutakuwa twingi maana kila tukio la kiafya mtaani kwenu nyie ndo mnafanya ,iwe chanjo,matukio ya dharura ya kiafya kwenye jamii nyie ndo wa kwanza kufika hivyo mpunga utakuepo .
Hapa majibu ni ngoja kazi ianze ndio tutajua vizur kwa sasa hamna majibu ya uhakikaSidhani Kama itakuwa 1k sababu kwa Sasa CHW
wameiweka chini ya wizara ya afya Kama ngazi ya kwanza kabisa ya watumishi wa wizara ya afya,hivyo wataingizwa kwenye mfumo wa utumishi wa uma,kingine tumarupurupu twa semina tutakuwa twingi maana kila tukio la kiafya mtaani kwenu nyie ndo mnafanya ,iwe chanjo,matukio ya dharura ya kiafya kwenye jamii nyie ndo wa kwanza kufika hivyo mpunga utakuepo .
oya mkuu upo mkoa gani mzee wangu?!Hapa majibu ni ngoja kazi ianze ndio tutajua vizur kwa sasa hamna majibu ya uhakika