Naomba kujua kuhusu CESARE BORGIA

Naomba kujua kuhusu CESARE BORGIA

pia inasemekana martin luther senior ktk kupitapita kwenye maktaba ya vitabu huko vatican ndipo alipokuta kitabu cheusi(biblia) kimening'inizwa kwenye minyororo, akajiuliza kwanini kitabu hicho cheusi kilizungushiwa minyororo, kumbuka wakati huo hakuruhusiwa mtu yeyote kusoma biblia isipokuwa tu papa na viongozi wa juu wa kanisa katoliki. Kwahyo Martin Luther akaifungua ile minyororo ili asome na kujua kitu gani kiliandikwa ndani, hapo ndipo aliposoma na kugundua kuwa kanisa lilikuwa likifanya mambo tofauti na biblia na ndiyo maana waliwatesa sana wakristo waliokuwa na msimamo mkali wa kufata kile kilichoandikwa kwenye biblia. Baada ya Martin luther kugundua ukweli huo akaamua kumpinga papa na kuanzisha dhehebu la lutheran(protestant).
Toa stori za vijiweni....
 
Hii inahusiana vipi ni mada..???

Tusipende kuchafua nyuzi za watu nyinyi kizazi cha nyoka..
Mkuu kwanza Asante, lakini hii Mada kama umeisoma vizuri inahusiana na hicho nilichoandika Kwa sababu hakuna picha halisi ya yesu wote ni waigizaji ni vipi uchukue picha na kuziabudu kuwa ni yesu?
Ni wapi bible imetuhimiza kuabudu picha za yesu na sanamu zake?
Nionyeshe picha halisi ya yesu haipo?
 
Mkuu kwanza Asante
Kwa kitu gani...??
,
lakini hii Mada kama umeisoma vizuri inahusiana na hicho nilichoandika
Mleta mada anataka kujua kama Papa huyo anayemtaja alikuwa na watoto...Sasa hii yako umetolea wapi..?

Kwa sababu hakuna picha halisi ya yesu
Aliyekwambia hakuna picha halisi ya Yesu ni nani...? Kabla ya ujuo wa Yesu kulikuwa na Makaisari wa Roma na picha zao zipo iweje ya Yedu ikosekane.....Unafikiri karne hizo kulikuwa hakuna wachoraji mahiri..??

wote ni waigizaji ni vipi uchukue picha na kuziabudu kuwa ni yesu?
Aliyesema picha za waigizaji zinachukuliwa ni nani...?? Nani hao umeona wanaabudu picha hizo..? Vipi ile picha ya babu yako alifariki huwa unaibudu..?? Kwanini unayo na usiichome moto...?


Ni wapi bible imetuhimiza kuabudu picha za yesu na sanamu zake?
Nakuuliza tena wewe kizazi cha nyoka ..Nani umeona anaabudu picha...?????


Nionyeshe picha halisi ya yesu haipo?
Hapa umeandika kitu gani...??
 
Kwa kitu gani...??
,
Mleta mada anataka kujua kama Papa huyo anayemtaja alikuwa na watoto...Sasa hii yako umetolea wapi..?

Aliyekwambia hakuna picha halisi ya Yesu ni nani...? Kabla ya ujuo wa Yesu kulikuwa na Makaisari wa Roma na picha zao zipo iweje ya Yedu ikosekane.....Unafikiri karne hizo kulikuwa hakuna wachoraji mahiri..??

Aliyesema picha za waigizaji zinachukuliwa ni nani...?? Nani hao umeona wanaabudu picha hizo..? Vipi ile picha ya babu yako alifariki huwa unaibudu..?? Kwanini unayo na usiichome moto...?


Nakuuliza tena wewe kizazi cha nyoka ..Nani umeona anaabudu picha...?????


Hapa umeandika kitu gani...??
Huu mchezo hautaki hasira,
Sanamu ya Yesu inaabudiwa na wa Catholic ushahidi ninao wakiwa wanaipigia magoti Mimi mwenyewe nilikuwa Catholic nimebaki na yesu wangu bila kanisa.
Wa, lokole kelele na kuongea ujinga eti kunena kwa lugha mambo yasiyo kuwepo,
Wa Catholic kuabudu sanamu
Lutheran wa chungaji wa kike na ndoa za jinsia moja hapa hakuna kanisa la yesu kristo na kama umesoma historical utanielewa
 
Huu mchezo hautaki hasira,
Sanamu ya Yesu inaabudiwa na wa Catholic ushahidi ninao wakiwa wanaipigia magoti
Unajua maana ya kuabudu weye...??? Kupiga magoti ndio kuabudu...?

Mimi mwenyewe nilikuwa Catholic
Huitaji kujinasibu kuwa wewe ulipata kuwa Mkatoliki ili ushike attention ya watu....Kama ulikuwa catholic basi ulikuwa mkatolki mbumbumbu kabisa...

nimebaki na yesu wangu bila kanisa.
Hii ni juu yako wala haituhusu....Katiba ipo wazi tuu...


Kwakuwa umeshindwa ku-stick kwenye mada pita kuleeee!!!
 
Unajua maana ya kuabudu weye...??? Kupiga magoti ndio kuabudu...?

Huitaji kujinasibu kuwa wewe ulipata kuwa Mkatoliki ili ushike attention ya watu....Kama ulikuwa catholic basi ulikuwa mkatolki mbumbumbu kabisa...

Hii ni juu yako wala haituhusu....Katiba ipo wazi tuu...


Kwakuwa umeshindwa ku-stick kwenye mada pita kuleeee!!!
Povu la nini Mbumbumbu ni yule anayeambiwa Mungu katika amri zake amezuia kumfananisha na chochote alafu huyo mbumbu anachonga kinyago cha Mpingo eti Mungu.
 
Unajua maana ya kuabudu weye...??? Kupiga magoti ndio kuabudu...?

Huitaji kujinasibu kuwa wewe ulipata kuwa Mkatoliki ili ushike attention ya watu....Kama ulikuwa catholic basi ulikuwa mkatolki mbumbumbu kabisa...

Hii ni juu yako wala haituhusu....Katiba ipo wazi tuu...


Kwakuwa umeshindwa ku-stick kwenye mada pita kuleeee!!!
Kwa uelewa wako ntajiumiza kichwa bure pole sana
 
Povu la nini Mbumbumbu ni yule anayeambiwa Mungu katika amri zake amezuia kumfananisha na chochote alafu huyo mbumbu anachonga kinyago cha Mpingo eti Mungu.

wewe sidhani hata kama jinsia yako unailewa sawasawa....... Nawasiwasi mkubwa...
 
Kwa uelewa wako ntajiumiza kichwa bure pole sana
Mkuu labda nikuambi kitu, unajua nimejikuta najiuliza inakuaje najibizana na mtu empty kiasi hiki.....?? sijui nini kimenipata..

Wewe nenda kwenye vile vijiwe vya kahawa ndio size yaku au kama unaipenda JF nenda kule jukwaa la celebrities na jokes
 
Mkuu labda nikuambi kitu, unajua nimejikuta najiuliza inakuaje najibizana na mtu empty kiasi hiki.....?? sijui nini kimenipata..

Wewe nenda kwenye vile vijiwe vya kahawa ndio size yaku au kama unaipenda JF nenda kule jukwaa la celebrities na jokes
Siwezi kukujibu tena Naweza kuwa najibizana na mlevi napoteza mda bule.

Ni kweli mie Si size yako mtu ambaye akili yako ni moja tu ndio shida za kusoma kwa kukariri.

Yani hii Maada iliyopo hufahamu inahusikanaje na nilicho andika basi wewe ni moja ya vizazi tata alama ya mnyama asiye jitambua.
 
Labda nikuwe sawa hapa!

Mleta mada kaleta kasema hivi....
Pia Leonardo DA Vinci ametajwa pia kwenyehabar za huyu bwana! He kuna ukwel wowote kuhusu yanayosemwa?

Kwa msisitizo akaomba msaada...
Je wanajamvi kuna yeyote mwenye uelewa zaidkuhusu hili?

Badala ya kumjibu wewe zuzu ukaamua kwa makusudi ku-divert mada yake kwa kuandika hivi..

Ni usahihi kuchonga sanamu za Yesu na Kuziabudu ?

Baada ya kuona unatoka nje ya mada husika, mimi nikakujibu hivi....

Hii inahusiana vipi ni mada..???

Tusipende kuchafua nyuzi za watu nyinyi kizazicha nyoka..

Ila kwakuwa umedhihirisha wewe ni mbumbumbu na nivugumu kuelewa bado ukaendekea na u.puuzi wako kama unajionesha hapa

Yani hii Maada iliyopo hufahamu inahusikanaje na nilicho andika basi wewe ni moja ya vizazi tata alama ya mnyama asiye jitambua.

Sasa nakuuliza mimi na wewe nani mbumbumbu.....? Umelaaniwa????
 
Tujadil kwa hoja wakuu haina haja ya kuanza kugombana...... Na krushiana maneno yasiyoo na staha tupo katika kujifnza
 
Habari za Leo wanaJF,

Kwanza kabisa naomba kudeclare interest "Mimi n mroman catholic"
Katika pita pita zangu nmekutana na habar za huyu CESARE BORGIA wengi wakisema kua alikuwa mtoto wa papa akiwa na Mdogo wake lukresia...mengi yameongelewa lakin kubwa zaid Lililonishangaza n madai ya kuwa picha yake ndo inayotumika kama picha ya Yesu kwa sasa!

Pia Leonardo DA Vinci ametajwa pia kwenye habar za huyu bwana! He kuna ukwel wowote kuhusu yanayosemwa?

Je wanajamvi kuna yeyote mwenye uelewa zaid kuhusu hili?

Sahihisho: Wewe ni Mkatoliki (Catholic).
 
Unajua maana ya kuabudu weye...??? Kupiga magoti ndio kuabudu...?

Huitaji kujinasibu kuwa wewe ulipata kuwa Mkatoliki ili ushike attention ya watu....Kama ulikuwa catholic basi ulikuwa mkatolki mbumbumbu kabisa...

Hii ni juu yako wala haituhusu....Katiba ipo wazi tuu...


Kwakuwa umeshindwa ku-stick kwenye mada pita kuleeee!!!


Mkuu unanibariki sana na majibu yako. Unanikumbusha majibu ya Fr. Titus Amigu wa Peramiho. Pia ameandika kitabu kinachoitwa "Kwa nini Wakatoliki Hawakasiriki?" Ni kitabu kizuri sana kitafute kama hujawahi kukisoma.
 
Back
Top Bottom