Naomba kujua kuhusu CESARE BORGIA

Naomba kujua kuhusu CESARE BORGIA

Hiyo ni story ya vijiweni, siyo sababu ilomfanya Martin Luther kujitenga na ukatoliki. Kumbuka yeye alikuwa Theologian mwenye kujua kila kitu Vatican kwakuwa alikuwa ni clergyman ndani ya Vatican. Ni uongo pia kuwa Biblia ilisomwa na makleri/clergymen ama watu wenye vyeo vya kanisa.
Ww ndio unatoa story za vijiweni, hii habari iliandikwa na E.G.wight tafuta kitabu cha huyu mama. Tumaini Kuu
 
NAOMBA KUULIZA HIVI YULE JAMAA WA MAREKANI ANAYEFANANA SANA NA MAREHEMU 2 PAC, NA YEYE NI 2 PAC?
 
Ww ndio unatoa story za vijiweni, hii habari iliandikwa na E.G.wight tafuta kitabu cha huyu mama. Tumaini Kuu
Who Is E G wight...??? Au unamaanisha yule mama muhuni wa Massachusset Marekani ajulikanaye kama Ellen Gould White aliyanzisha Usabato...???

Unaijua historia ya huyu Bibi..?
 
Sura yake ilibaki kwenye kitambaa alicho futwa na veronica kwenye ile siku ya mateso yake na watuwote waliokula shavu ya picha zao kutumika ni wale waliokua wanafanana naye
"


uongo mtakatifu"kitambaa kinawezaje ku claim sura ya mtu?????????
 
Kwanini unataka kumpangia mipaka Mungu...? BTW Veronika alimfuta Yesu uso uliojaa damu kwa kitambaa cheupe, na sura yake ikabaki kwenye kitambaa hicho..

unaanza kumsingizia mungu tena????????? vitu vingine ni uongo mweupe kabisa
 
Jibu swali nililokuuliza...

kutokana na swali lako inaonesha akil yako fupi! kama yesu alitembea juu ya maji ikaandikwa kwenye bible ss mbona hiyo ya sura kubaki kwenye kitambaa haikuandikwa ,maana jasho kuchora sura ya mtu kwenye kitambaa nayo ni ajabu!
 
Labda nikuwe sawa hapa!

Mleta mada kaleta kasema hivi....


Kwa msisitizo akaomba msaada...


Badala ya kumjibu wewe zuzu ukaamua kwa makusudi ku-divert mada yake kwa kuandika hivi..



Baada ya kuona unatoka nje ya mada husika, mimi nikakujibu hivi....



Ila kwakuwa umedhihirisha wewe ni mbumbumbu na nivugumu kuelewa bado ukaendekea na u.puuzi wako kama unajionesha hapa



Sasa nakuuliza mimi na wewe nani mbumbumbu.....? Umelaaniwa????
Siwezi kufahamu tatizo lako ninini Pole sana tatizo la ukweli unaumiza.
Pale masilahi ya watu yanapoguswa
 
kutokana na swali lako inaonesha akil yako fupi! kama yesu alitembea juu ya maji ikaandikwa kwenye bible ss mbona hiyo ya sura kubaki kwenye kitambaa haikuandikwa ,maana jasho kuchora sura ya mtu kwenye kitambaa nayo ni ajabu!
Otorong'ong'o ni mbumbu utajisumbua bule usibishane na mpumbavu hujui kitu.
 
NAOMBA KUULIZA HIVI YULE JAMAA WA MAREKANI ANAYEFANANA SANA NA MAREHEMU 2 PAC, NA YEYE NI 2 PAC?
Mkuu kuna watu wa maajabu na Bible haijaandika chochote kuhusu sura halisi ya yesu then watu eti ni yesu ukimwambia maandiko anambwela tu.
 
Kwanini unataka kumpangia mipaka Mungu...? BTW Veronika alimfuta Yesu uso uliojaa damu kwa kitambaa cheupe, na sura yake ikabaki kwenye kitambaa hicho..
Niliamua nikuache lakini nimeona wewe mtupu unahitaji msaada upo bure kabisa, leta maandiko acha Habari za vijiwe kahawa.
 
Back
Top Bottom