Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Ngoja nikae sawa....kutokana na swali lako inaonesha akil yako fupi! kama yesu alitembea juu ya maji ikaandikwa kwenye bible ss mbona hiyo ya sura kubaki kwenye kitambaa haikuandikwa ,maana jasho kuchora sura ya mtu kwenye kitambaa nayo ni ajabu!
Enyi kizazi cha nyoka mnaotaka kila kitu kiandikwe kwenye biblia nani kawaloga ...
Hufahamu kuwa kama habari zote za Yesu zingeandikwa hakika ukimwengu huu usingetosha....!!!