Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

🤣🤣🤣🤣 Wewe zigo unalo JF yote hakunaa!! Ni lazima Sir Midabwada achanganyiwe fa mchezo nini?!!!
Mfyuuu! Kwa zigo gani hasa hebu acha vichekesho uduguu!

Huyo dawa apate kibinti kama wewe na mhipsi huo akikupakata hadi anaufeel hadi kidogoni!
 
Mfyuuu! Kwa zigo gani hasa hebu acha vichekesho uduguu!

Huyo dawa apate kibinti kama wewe na mhipsi huo akikupakata hadi anaufeel hadi kidogoni!
Akhu!! Mi zigo nilitoe wapi??!
Wewe ndo mwenye hipusi lako na msambwandwa wa kwendea!!
Kwani sir midabwada yeye mjinga mpk akubali kukutafutia mill 100?!!🤣🤣🤣
Kuna vitu adimu kaviona
 
Kwa mfano binafsi sina hata follower mmoja hapa jamiiforums kama ilivyo kwa wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu Dabil na Charles kilian ila nimetoka kufunya Uchunguzi wangu wa kimya kimya na kugundua members Kama Mshana Jr na yule Genta ( GENTAMYCINE ) na wengineo baadhi wana utajiri mkubwa wa followers hapa

Je, kunamaanisha nini members kadhaa kuwa na followers wengi tofauti na wengine hapa jamiiforums wakati kama ni kuwepo kuchangia mada mbalimbali kila siku huwa tunakuwa wote?

Na je, ni kwanini kwa mfano mimi Cognizant na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na Charles kilian dhidi ya member kama GENTAMYCINE hatuna hata follower mmoja tu? tunafeli wapi labda?

Binafsi nikiona sipati follower hata mmoja tu hapa jamiiforums sitoona aibu kumuomba mmoja wa members wenye followers wengi GENTAMYCINE anipunguzie hata mmoja tu kwani ni aibu kubwa kutwa mimi na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na @,Charles kilian tunamfanyia kila aina ya visa jamaa ( genta ) huku hadi tukimuombea ban kwa moderators huku tukitumia muda wetu mwingi kumshambulia au kubishana nae ili nasi ids zetu zijulikane na ziwe maarufu kama yeye lakini ndiyo kwanza hatujulikani, hatupati umaarufu wowote na hatuna hata follower mmoja wa Kuzugia tu

Kama hamtojali nitapendelea kila atakayeuchangia huu uzi wangu mwishoni atuambie ana followers wangapi hapa jamiiforums ili basi kama kuna wengine wanao wengi watupunguzie na sisi akina Cognizant wenye wivu, chuki na roho mbaya kwa members maarufu na wenye mvuto wao wa kipekee wa kiuwasilishaji hapa jamiiforums mfano wa akina Mshana Jr na GENTAMYCINE
Pole sana .

Wengine tuna followers elfu moja na kitu.
 
Kwa mfano binafsi sina hata follower mmoja hapa jamiiforums kama ilivyo kwa wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu Dabil na Charles kilian ila nimetoka kufunya Uchunguzi wangu wa kimya kimya na kugundua members Kama Mshana Jr na yule Genta ( GENTAMYCINE ) na wengineo baadhi wana utajiri mkubwa wa followers hapa

Je, kunamaanisha nini members kadhaa kuwa na followers wengi tofauti na wengine hapa jamiiforums wakati kama ni kuwepo kuchangia mada mbalimbali kila siku huwa tunakuwa wote?

Na je, ni kwanini kwa mfano mimi Cognizant na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na Charles kilian dhidi ya member kama GENTAMYCINE hatuna hata follower mmoja tu? tunafeli wapi labda?

Binafsi nikiona sipati follower hata mmoja tu hapa jamiiforums sitoona aibu kumuomba mmoja wa members wenye followers wengi GENTAMYCINE anipunguzie hata mmoja tu kwani ni aibu kubwa kutwa mimi na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na @,Charles kilian tunamfanyia kila aina ya visa jamaa ( genta ) huku hadi tukimuombea ban kwa moderators huku tukitumia muda wetu mwingi kumshambulia au kubishana nae ili nasi ids zetu zijulikane na ziwe maarufu kama yeye lakini ndiyo kwanza hatujulikani, hatupati umaarufu wowote na hatuna hata follower mmoja wa Kuzugia tu

Kama hamtojali nitapendelea kila atakayeuchangia huu uzi wangu mwishoni atuambie ana followers wangapi hapa jamiiforums ili basi kama kuna wengine wanao wengi watupunguzie na sisi akina Cognizant wenye wivu, chuki na roho mbaya kwa members maarufu na wenye mvuto wao wa kipekee wa kiuwasilishaji hapa jamiiforums mfano wa akina Mshana Jr na GENTAMYCINE
Tatizo huna content .

Mimi ndio kwanza hii ID naiona Leo.
 
Kwa mfano binafsi sina hata follower mmoja hapa jamiiforums kama ilivyo kwa wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu Dabil na Charles kilian ila nimetoka kufunya Uchunguzi wangu wa kimya kimya na kugundua members Kama Mshana Jr na yule Genta ( GENTAMYCINE ) na wengineo baadhi wana utajiri mkubwa wa followers hapa

Je, kunamaanisha nini members kadhaa kuwa na followers wengi tofauti na wengine hapa jamiiforums wakati kama ni kuwepo kuchangia mada mbalimbali kila siku huwa tunakuwa wote?

Na je, ni kwanini kwa mfano mimi Cognizant na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na Charles kilian dhidi ya member kama GENTAMYCINE hatuna hata follower mmoja tu? tunafeli wapi labda?

Binafsi nikiona sipati follower hata mmoja tu hapa jamiiforums sitoona aibu kumuomba mmoja wa members wenye followers wengi GENTAMYCINE anipunguzie hata mmoja tu kwani ni aibu kubwa kutwa mimi na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na @,Charles kilian tunamfanyia kila aina ya visa jamaa ( genta ) huku hadi tukimuombea ban kwa moderators huku tukitumia muda wetu mwingi kumshambulia au kubishana nae ili nasi ids zetu zijulikane na ziwe maarufu kama yeye lakini ndiyo kwanza hatujulikani, hatupati umaarufu wowote na hatuna hata follower mmoja wa Kuzugia tu

Kama hamtojali nitapendelea kila atakayeuchangia huu uzi wangu mwishoni atuambie ana followers wangapi hapa jamiiforums ili basi kama kuna wengine wanao wengi watupunguzie na sisi akina Cognizant wenye wivu, chuki na roho mbaya kwa members maarufu na wenye mvuto wao wa kipekee wa kiuwasilishaji hapa jamiiforums mfano wa akina Mshana Jr na GENTAMYCINE
We jamaa ni mashine yenye engine nyuma unalazimisha kutafuta bwana humu
 
Back
Top Bottom