Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Naomba kujua kwanini Members wengine hapa wana Followers wengi na Wengine pamoja na Kujitutumua Kwetu JF bado hatuna hata Mmoja tu?

Kwa mfano binafsi sina hata follower mmoja hapa jamiiforums kama ilivyo kwa wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu Dabil na Charles kilian ila nimetoka kufunya Uchunguzi wangu wa kimya kimya na kugundua members Kama Mshana Jr na yule Genta ( GENTAMYCINE ) na wengineo baadhi wana utajiri mkubwa wa followers hapa

Je, kunamaanisha nini members kadhaa kuwa na followers wengi tofauti na wengine hapa jamiiforums wakati kama ni kuwepo kuchangia mada mbalimbali kila siku huwa tunakuwa wote?

Na je, ni kwanini kwa mfano mimi Cognizant na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na Charles kilian dhidi ya member kama GENTAMYCINE hatuna hata follower mmoja tu? tunafeli wapi labda?

Binafsi nikiona sipati follower hata mmoja tu hapa jamiiforums sitoona aibu kumuomba mmoja wa members wenye followers wengi GENTAMYCINE anipunguzie hata mmoja tu kwani ni aibu kubwa kutwa mimi na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na @,Charles kilian tunamfanyia kila aina ya visa jamaa ( genta ) huku hadi tukimuombea ban kwa moderators huku tukitumia muda wetu mwingi kumshambulia au kubishana nae ili nasi ids zetu zijulikane na ziwe maarufu kama yeye lakini ndiyo kwanza hatujulikani, hatupati umaarufu wowote na hatuna hata follower mmoja wa Kuzugia tu

Kama hamtojali nitapendelea kila atakayeuchangia huu uzi wangu mwishoni atuambie ana followers wangapi hapa jamiiforums ili basi kama kuna wengine wanao wengi watupunguzie na sisi akina Cognizant wenye wivu, chuki na roho mbaya kwa members maarufu na wenye mvuto wao wa kipekee wa kiuwasilishaji hapa jamiiforums mfano wa akina Mshana Jr na GENTAMYCINE
Kuna kitu unashindwa kuelewa!!

Fake ids zinaonyesha internal persona ya mtu,yaani uwezo wa ndani Yako na influence kwa wengine na nafsi zao kukuhusu!!

Kama una kipawa fulani IDs zitakupa uhakika wa hicho ulicho nacho ndani yako!!

Kupata followers wengi ni dalili ya kukubalika kwenye nafsi za wengi yaani una mvuto mkubwa kwao!!

Kupata likes nyingi kama Mimi ninavyozipata ni dalili kuwa uelewa wako umewavutia wengi yaani uwezo wako wa iufikiri unakubalika na wengi, na unafaa kuwa mshauri mzuri na kiongozi Au kutatua changamoto za watu wanazopitia!!


Ukipata likes za vicheko vingi maana yake wewe ni entertainer mzuri!!

Kifupi reactions za watu Kukuelekea wewe hueleza kwa kina nguvu na uwezo wako uliofichika!na huo mvuto Hauna favoritism yeyote coz ya fake IDs!!!

Kama reactions ni kidogo that means na mvuto ni mdogo!!

Kifupi hiyo ndio true self of yours Mkuu!!
 
Bff hapo umeongea 😍😍😍
Tukavae vikamba kamba sie tushinde tunaswim km samaki!!
Stress tupa kule πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wamama wazee wanavaaga hizo pia??πŸ€”πŸ€”πŸ€£!
Mtanuchagulia ya kizee nzuree namie niswim mnaita🀣!
 
Wamama wazee wanavaaga hizo pia??πŸ€”πŸ€”πŸ€£!
Mtanuchagulia ya kizee nzuree namie niswim mnaita🀣!
Zote zipo udugu, tena wewe na hilo hips plus wowowo sijui itakuwaje?!! 🀣🀣🀣
Itabidi sponsor wetu Sir Midabwada asicheze mbali watambebea goma lake 🀣🀣🀣
 
Uje na kitenge cha wawata 🀣🀣🀣
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

Weee Nikija nacho nakikata robo nafunga kiunoni upande paja moja libaki nje kama kina maua namechisha rangi ya maua na bra usintantieee cousin hata kama nimeeka ndio kitenge cha wawata sasaπŸ˜‚
 
Zote zipo udugu, tena wewe na hilo hips plus wowowo sijui itakuwaje?!! 🀣🀣🀣
Itabidi sponsor wetu Sir Midabwada asicheze mbali watambebea goma lake 🀣🀣🀣
Ntaua mtu aseee... Kwa namna moyo wangu ulivyoraruriwa na kusi ya huba na wimbi la mashamsham ya kitang'ata.

Ndugu yangu Lamomy si mchezo
 
Ntaua mtu aseee... Kwa namna moyo wangu ulivyoraruriwa na kusi ya huba na wimbi la mashamsham ya kitang'ata.

Ndugu yangu Lamomy si mchezo
Mnanijazana tu nahuyo Lamomy wako mshamba tu mie
Zote zipo udugu, tena wewe na hilo hips plus wowowo sijui itakuwaje?!! 🀣🀣🀣
Itabidi sponsor wetu Sir Midabwada asicheze mbali watambebea goma lake 🀣🀣🀣
Uduguuu hii kejeli Sijapentaaa!
Hips nitoe wapi mimi! Nipo tu kama sanamu la Michelin hapa!
 
Back
Top Bottom