Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
ππππ weka mbali na watotoHaachi kitu hadi mifupa anapita nayo ausio!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππ weka mbali na watotoHaachi kitu hadi mifupa anapita nayo ausio!!
Inatosha tufike hadi Maldives kule tukacheze zetu beach na vibikini tuLimeisha πππ
Udugu aliweka dau sio la kitoto ooh!!
Hiyo mill 100 twendeni Dubβs
Nitaanza na wewe π₯°Shusha nyavu πππ
Kuna kitu unashindwa kuelewa!!Kwa mfano binafsi sina hata follower mmoja hapa jamiiforums kama ilivyo kwa wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu Dabil na Charles kilian ila nimetoka kufunya Uchunguzi wangu wa kimya kimya na kugundua members Kama Mshana Jr na yule Genta ( GENTAMYCINE ) na wengineo baadhi wana utajiri mkubwa wa followers hapa
Je, kunamaanisha nini members kadhaa kuwa na followers wengi tofauti na wengine hapa jamiiforums wakati kama ni kuwepo kuchangia mada mbalimbali kila siku huwa tunakuwa wote?
Na je, ni kwanini kwa mfano mimi Cognizant na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na Charles kilian dhidi ya member kama GENTAMYCINE hatuna hata follower mmoja tu? tunafeli wapi labda?
Binafsi nikiona sipati follower hata mmoja tu hapa jamiiforums sitoona aibu kumuomba mmoja wa members wenye followers wengi GENTAMYCINE anipunguzie hata mmoja tu kwani ni aibu kubwa kutwa mimi na wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu akina Dabil na @,Charles kilian tunamfanyia kila aina ya visa jamaa ( genta ) huku hadi tukimuombea ban kwa moderators huku tukitumia muda wetu mwingi kumshambulia au kubishana nae ili nasi ids zetu zijulikane na ziwe maarufu kama yeye lakini ndiyo kwanza hatujulikani, hatupati umaarufu wowote na hatuna hata follower mmoja wa Kuzugia tu
Kama hamtojali nitapendelea kila atakayeuchangia huu uzi wangu mwishoni atuambie ana followers wangapi hapa jamiiforums ili basi kama kuna wengine wanao wengi watupunguzie na sisi akina Cognizant wenye wivu, chuki na roho mbaya kwa members maarufu na wenye mvuto wao wa kipekee wa kiuwasilishaji hapa jamiiforums mfano wa akina Mshana Jr na GENTAMYCINE
Mi nimekolezea tu sifa za fisi ila sio wewe ! πJamani imetosha sasa π
Bff hapo umeongea πππInatosha tufike hadi Maldives kule tukacheze zetu beach na vibikini tu
Mtu analiliaje folowersπ€£π€£π€£Bff hapo umeongea πππ
Tukavae vikamba kamba sie tushinde tunaswim km samaki!!
Stress tupa kule ππππ
πππ!Inatosha tufike hadi Maldives kule tukacheze zetu beach na vibikini tu
Nitakuletea π· jioni wakati natoka kazini Umenifurahisha sana shem.Mi nimekolezea tu sifa za fisi ila sio wewe ! π
Wewe si tumekubaliana sio mlafi uko vizure!π€
JF watu wenye tatizo la umeme mdogo wako wengi πππMtu analiliaje folowersπ€£π€£π€£
Wamama wazee wanavaaga hizo pia??π€π€π€£!Bff hapo umeongea πππ
Tukavae vikamba kamba sie tushinde tunaswim km samaki!!
Stress tupa kule ππππ
Uje na kitenge cha wawata π€£π€£π€£Wamama wazee wanavaaga hizo pia??π€π€π€£!
Mtanuchagulia ya kizee nzuree namie niswim mnaitaπ€£!
Zote zipo udugu, tena wewe na hilo hips plus wowowo sijui itakuwaje?!! π€£π€£π€£Wamama wazee wanavaaga hizo pia??π€π€π€£!
Mtanuchagulia ya kizee nzuree namie niswim mnaitaπ€£!
ππππππ!Uje na kitenge cha wawata π€£π€£π€£
Ntaua mtu aseee... Kwa namna moyo wangu ulivyoraruriwa na kusi ya huba na wimbi la mashamsham ya kitang'ata.Zote zipo udugu, tena wewe na hilo hips plus wowowo sijui itakuwaje?!! π€£π€£π€£
Itabidi sponsor wetu Sir Midabwada asicheze mbali watambebea goma lake π€£π€£π€£
Mnanijazana tu nahuyo Lamomy wako mshamba tu mieNtaua mtu aseee... Kwa namna moyo wangu ulivyoraruriwa na kusi ya huba na wimbi la mashamsham ya kitang'ata.
Ndugu yangu Lamomy si mchezo
Uduguuu hii kejeli Sijapentaaa!Zote zipo udugu, tena wewe na hilo hips plus wowowo sijui itakuwaje?!! π€£π€£π€£
Itabidi sponsor wetu Sir Midabwada asicheze mbali watambebea goma lake π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ Wewe zigo unalo JF yote hakunaa!! Ni lazima Sir Midabwada achanganyiwe fa mchezo nini?!!!Mnajazana nahuyo Lamomy ujue
Uduguuu hii kejeli Sijapentaaa!
Hips nitoe wapi mimi! Nipo tu kama sanamu la Michelin hapa!