MchinjaKobe Original
New Member
- Jan 22, 2013
- 2
- 0
Wadau, ningependa kujua biashara ya kukusanya chupa za plastic zilizotumika kwa kuwa nimeona kuna fursa katika mkoa niliopo. Dar imekuwa dili sana naona watu wanabeba mizigo mikubwa ya machupa lakini huku nilipo chupa zinazagaa hakuna muokotaji.
Soko lake likoje? Wanunuzi wake ni akina nani? Wananunua kwa ujazo gani ni kwa kilo au na je kilo wananua shilingi ngapi?
Hapo kwenye bei ni muhimu ili hata ukiweka cost za usafirishaji zilete faida. Kama kuna mwenye ufahamu atujuze.
Soko lake likoje? Wanunuzi wake ni akina nani? Wananunua kwa ujazo gani ni kwa kilo au na je kilo wananua shilingi ngapi?
Hapo kwenye bei ni muhimu ili hata ukiweka cost za usafirishaji zilete faida. Kama kuna mwenye ufahamu atujuze.