MchinjaKobe Original
New Member
- Jan 22, 2013
- 2
- 0
yadaiwa pia kupunguza kwa kiasi kikubwa UHALIFU !
Nionacho mimi ni kundi kubwala vijana matejana walevi wa pombe ndiohuokota makopo, ni ajira ya kipuuzi kwani hulazimika hata kupekua uchafu ili kupata hizo chupa used, nishawahi kuwauliza kwa nn wengi wao wachafu na walevi wa unga na pombe, hujibu ni kupunguza aibu kwani kazi yakuzurula kutafuta chupa sio rahisi kwani zamani walikuwa wanaifanya machizi
kwa mtazamo wangu ni hoja nyepesi kuon eti hii ni sehemu iliyoongeza ajia kwa vijana n liwe jambo la kujivunia, labda kama hukufikiri sawasawa au hujafanya hata kautafiti bali umelibeb tu
Kukosa maarifa ni hasara sana. Kifupi ni kuwa mfumo uliopo ndo umewafanya vijana kujiingiza kwenye kazi kama hiyo. Tulipowanyang'anya nyumba wahindi ni kuwa tuliona mfumo wa kikoloni uliwafanya wao kunemeka kupitia jasho letu. Kwasasa serikali ya ccm imekosa vision kuwakwamua vijana, zaidi ya kuweka matabaka kwenye elimu, afya, usafiri n.k. Angalia kwa umakini matokeo ya kidato cha nne mwaka huu je ni nani atakae okota makopo kama sio mtoto wa mkulima? Geodfrey Mgimwa ataokota kopo kweli wakati anjua kuwa atarithi ubunge wa baba yake?
"ANGALIZO" Lakini kazi hii siyo suluhisho la tatizo la ajira kwa vijana.
acheni stori za vijiweni, hiyo biashara ni kichaa vibaya mno....huko viwandani kwenyewe wananunua kilo moja kwa TZS 400-500...sasa shughuli yake mpaka chupa tupu zifike kilo kazi ipo...labda uzijaze maji ndo uzito kidogo uongezeke
acheni stori za vijiweni, hiyo biashara ni kichaa vibaya mno....huko viwandani kwenyewe wananunua kilo moja kwa TZS 400-500...sasa shughuli yake mpaka chupa tupu zifike kilo kazi ipo...labda uzijaze maji ndo uzito kidogo uongezeke