Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Biashara haitoki wengi wamekusanya hakuna wanunuzi viwanda vingi vimepunguza uzalishaji.Tani inategemea na ukusanyaji bei yako na mtaji wako kama ni nzuri kwa wiki hadi tani 10 au zaidi unapata.Mimi nampango wa kusaga na kuhifadhi tani nyingi hata 200 Corona ikiisha tapiga hela.Natafiti soko la Kenya au China mipaka ikifunguliwaKwaiyo tani mmoja kiwandani ni 450k.
( apo bado usafiri na wapikiaji)
Hii tani mmoja ukusanyaji wake si sio mchezo sasa. Waweza chukua siku ngapi.
Kwaiyo mtaji wake kwa hesabu zako ni laki 100k_200k. Si ndivyo mkuu.
Inachukua muda gani mpaka kufikisha mzigo wakuja kubebwa na gari...namaanisha ndani ya muda huo huo mzigo unakuwa umefika KG/Tonne ngapi.Biashara hii iko iv kidogo nilivyo ielewa mimi
Mzani wa mtumba Tsh.40000/=
Chupa kg1=300
Kiwandani chupa kg1=800
Pia kuanzia tani moja usafiri kutoka kiwandani unakuja kuchukua mzigo bure
Fulsa vijana mtaji wa laki na elfu tisini unatosha kuanzia kwa wakazi wa Dar kwa mikoani sijajua wapendwa inakuwaje.
@Bana likasi naomba ufafanuzi zaidi wa hii biashara kama itakupendeza tafadhari. Mimi nipo darBiashara haitoki wengi wamekusanya hakuna wanunuzi viwanda vingi vimepunguza uzalishaji.Tani inategemea na ukusanyaji bei yako na mtaji wako kama ni nzuri kwa wiki hadi tani 10 au zaidi unapata.Mimi nampango wa kusaga na kuhifadhi tani nyingi hata 200 Corona ikiisha tapiga hela.Natafiti soko la Kenya au China mipaka ikifunguliwa
Nenda pale barabara ya kito lodge ukitokea amani shule msingi mkabala na police nyoosha barabara hiyo ukielekea jua kuzama unavuka barabara kuu iringa road ikitokea mirembe then fuata hiyo ya vumbi kama unaenda michise sasa kuna mskiti pale kulia nenda mbele hiyo hiyo barabara mbele kushoto kama unaenda barabara ya st John's utaona karibu na bonde utaona wanakusanya hizo na fuso huwainakuja somba hizo ....ukifika nipigie simu kama umeonaHabari za asubihi wakuu.
Swali langu, "Je kuna wanunuzi au viwanda vinavyonunua chupa na palstic chakavu kwa mkoa wa dodoma?".
Natanguliza shukrani. Niwatakie asubuhi njema