Naomba kujua Machimbo ya sehemu za kuchill pale posta, Vyakula na Vinywaji ni vya bei nafuu

Naomba kujua Machimbo ya sehemu za kuchill pale posta, Vyakula na Vinywaji ni vya bei nafuu

Mchana au usiku? Unatumia vyombo au Mango juice? Peke yako au na nyinya damu?

Na mwisho, upo radhi kununua soda ya bei gani (bei ya soda for reference):
  • Mia 7 bei elekezi
  • Buku bei ya Bar
  • Buku 2
  • Buku 5
  • Bei yoyote niko tayari
Muda kuanzia saa 12 Jioni mpaka saa 3 usiku, Vyombo sitatumia japo ni mpenzi, ntakuwa na nyonya damu.
 
Back
Top Bottom