Mimi mwenyewe nilikimbia Jiji 2011 ofisi zilikuwa Mwenge.Lakin si walikuwa mwenge...may be mtoa mada alikuwepo dar kitambo kabla hazijahamishwa...
Acha kukaza ubongo na kutafuta negativity ....have tolerance
Na wewe acha uongo, siyo veteran ni vetenarAcha uongo HESLB haipo mwenge Bali ipo temeke mtaa wa kilimo kituo cha veterani
KakaSasa kinachowakimbiza watu kwenda government ni nini kama hizi ndizo salary zao?
TRA scale 4 Ni 2300000 gross salalryTRA Salary scale Gross ni 2,700,000/=. TRA ni taasisi zinazojilipa mshahara
Acha uongo jombaaaTRA scale 4 Ni 2300000 gross salalry
TRA scale 4 Ni 2300000 gross salalry
wewe mfanyakazi wa TRA? nijibu hilo swali kwanza?Acha uongo jombaaa
Hizo posho sio kwa tamisemiWatu wanavimaneno sijui namheshimu mfa nyabiasha sijui nini...Sasa sio kila mtu anawesa kufanya biashara ilo mosi mbili, ukiambiwa unaanza na mshahara wa laki7 iyo sio life sentence, kuna posho nyingi tu utazipata kazini na stahiki kibao...na mishahara inapanda kadiri unavyotumikia...wapo wanaolipwa hadi 1.5M kwa cheo hicho na zaidi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ndiyowewe mfanyakazi wa TRA? nijibu hilo swali kwanza?
Sina uhakika, hasa uku Halmashauri
Posho zipo wewe ndio Huna uhakika,tunazila kama kawaida,lakini inategemea na position yakoSina uhakika, hasa uku Halmashauri
Position au kada sijakuelewa mkuu hapo!Posho zipo wewe ndio Huna uhakika,tunazila kama kawaida,lakini inategemea na position yako
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Position na kada pia..mf kama uko afya alafu ukawa mratibu apo tegemea posho zitakutembelea tuPosition au kada sijakuelewa mkuu hapo!
Basic ni 2.34M take home apprx 1.65M degree holderUyo atakua diploma mzee maana degree makato yote take home inacheza 1.9m unafikir gross ni kias gani??
Safi kaka umempa jibu maana kuna watu humu hawajui na wabishi hawapo mahali flani lakini wanabisha tu sasa unawashangaa unamwambia ukweli anabisha.
Alafu pia kua mtumishi wa serikali Kuna advantage kubwa coz ukiwa mgonjwa Bado utalipwa mshahara hata usipo attend mwezi mzima.ila kwa mfanya biashara mtaji ni nguvu pia ukiugua biashara inalala