jitulawatu
Member
- Aug 9, 2020
- 52
- 49
Kwahiyo hapa ni kama ulisoma bila mkopo au maana sjaona ayo makatoTGS D 1
basic salary - 710,000
PSSSF - 35,000
NHIF-21,300
PAYE-46,740
TAKE HOME -606,960
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hapa ni kama ulisoma bila mkopo au maana sjaona ayo makatoTGS D 1
basic salary - 710,000
PSSSF - 35,000
NHIF-21,300
PAYE-46,740
TAKE HOME -606,960
Mama kaongeza mwaka janaUmemaliz kila kitu hapa
Hata serikali au utumishi napo kuna madaraja na ndio maana hata mishahara yao ikawekwa kimadaraja
Wao huwa wanafikiri kuwa wakisikia mtu analipwa 600000 huko utumishi, basi huo ndio mwisho wake :-
Wanasahau
Security environment
Ensurement kazini
Hizi posho posho hizi
Ndio zinawapa sana kuishi kitaaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hvyoKwahiyo hapa ni kama ulisoma bila mkopo au maana sjaona ayo makato
Kama hautojari nisaidie details kidogo... Education Officer wa NAOT ana deal na kazi zipi, na vipi upande wa maslahi (posho) yakoje?Hawa ma Auditor ni noma sana.
Auditor wetu hapa ofcn alienda Mbeya kufanya Auditing..... Kakaa miezi mitatu.
Yani anaakula Night za kutosha na wale jamaa wakampa Takrima ili mahesabu/Madudu yao ayaweke vizur.
Jamaa karekebisha karud hapa tunapga wote mzigo.
Mwaka wa fedha Mpya ukifika anaseoa tena safar anaenda ...... Kukagua.
Serikalini kuna posho na hela za safari pia, so kutegemeana na taasisi iliyopo kuna pahala Posho inauzidi mshaharaSasa kinachowakimbiza watu kwenda government ni nini kama hizi ndizo salary zao?
Ni mkaguzi pia kama wakaguzi wengine huyu anahusika zaidi kwenye ukaguzi hasa zaidi kwenye sector ya elimu mitaala nk ili kuweza kuishaur serikali kwenye angle hyo!Kama hautojari nisaidie details kidogo... Education Officer wa NAOT ana deal na kazi zipi, na vipi upande wa maslahi (posho) yakoje?
Nashukuru sanaNi mkaguzi pia kama wakaguzi wengine huyu anahusika zaidi kwenye ukaguzi hasa zaidi kwenye sector ya elimu mitaala nk ili kuweza kuishaur serikali kwenye angle hyo!
Nafikri sasa hivi akiulizwa maana ya basic na gross salary utakuwa ulishaelewa! 2022 watu uliwalisha matango pori!Well, Basic salary ni kabla ya makato mfano kodi (PAYE), NHIF, PSSSF, HESLB n.k. Ambapo take home ni ile amount anayopata mtu baada ya hayo makato. Kimsingi, Gross na Basic vina maana sawa.
1 800,000Na TRAS 4 ndo sh.ngapi?? nataka nifanye opportunity cost.