KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Unafanywaje?Kuacha kulipa deni bila sababu haikubaliki popote. Ni hivi kuna wenzako kama wewe au mimi tunaweka Pesa kwao. Masharti yao ni kuwa wanakwambia hakuna Riba. Sasa unatokea wewe unakopa kwa masharti utarejesha na faida . Sasa hii faida unayorejeshwa ndio Islamic Bank wanaigawa Baina ya Mteja na wao. Sasa kama hukurejesha mkopo , maana yake umentia hasara mteja aliyeka zile ukapata wewe kukopa
Kiongozi biashara unajua japo kidogo? Je faida na riba ni sawa?Watakwambia mambo haya.
Leta mchanganuo wa gharama za ujenzi wako, sema wapi wapi zinapaswa kulipiwa, kisha wataweka faida yao ikiwa watazilipa hizo gharama. Sasa ukikubaliana nao wanakuja kulipa au kukununulia hicho unachokihitaji, mwisho wa siku wewe utakuja kuwalipa hizo gharama pamoja na faida yao.
Kwa mfano.
Wewe unataka kujenga nyumba, kiwanja unachotaka kununua kinauzwa Milioni 5, basi ukienda kwao kutaka kukopa milioni 5 ili kununua kiwanja, watakwambia tuonyeshe kiwanja na muuzaji, wao watakwenda kukinunua kwa niaba yako kwa hiyo milioni 5, na wewe utapaswa kuja kuwalipa benki Milioni 5 yao pamoja na FAIDA yao baada ya muda fulani mtakaopata. Sasa hiyo faida itakuwa kiasi gani? Hayo ni mapatano ya wewe na wao kutegemea Muda utakaotumia kulipa na kiasi utakachotaka kukopa.
Wao wanakwepa neno RIBA lakini wanataka neno FAIDA. Na ili kutaka kukuonyesha(kukuzuga!) kuwa Riba na Faida ni kitu tofauti kwa kuwa uislamu hauruhusu Riba, basi wanaweka hizo kona kona za 'kiswahili kiswahili'.
Kumbe ndio wajanja hivi hahahaaaaaHujui maana ya Riba. Unyamaze tu.
Kwa mleta mada:
Benki hizo kama alivosema mdau mmoja hapo juu, wao wanakupa wewe materials. Yaani kwa mfano wewe unataka biashara ya kuuza magari, basi wao watanunua gari mfano IST inauzwa $1000, wao watakuuzia wewe $1100. Kwaio wakikupa hio gari uuze, wao uwarudishie dola 1100 yao. Kwaio kwa ufupi, ni kwamba wao wanakuuzia kwa bei nyengine ila ndio utalipa kwa awamu mlizokubaliana
Labda nimjibie Katika uislam kama ukishindwa kulipa deni inaangaliwa ni kwanini hujalipa lile deni ilionekana kuwa huna uwezo nalo uislamu unamafungu manane ya wanaotakiwa kupewa zaka miongoni mwao ni wenye madeni sugu walioshindwa kulipa hivyo utalipiwa deni lako kutoka kwenye fungu hilo ila ikionekana unafanya makusudi sheria itafuata mkondo wakeUnafanywaje?
Hivi Islamic banks hawachukui dhamana wakikopesha?Kukopeshwa nyumba ya milioni 100 halafu ukaambiwa ulipe milioni 150 NA Kuuziwa nyumba kwa milioni 150 na ukaambiwa ulipe kwa awamu, wewe unaona ni sawa?
Hivi wewe umewahi kuona wapi kuwa mimi nikinunua kiwanja kwa mtu kwa milioni 5, halafu nikaja kukuuzia wewe milioni 7 ikaitwa riba? 😀
Halafu sasa, kwenye kufanya biashara, hasara itakayopatikana kwenye hio biashara ni hasara ya mkopeshaji na mkopeshwaji, kwa sababu mkopeshaji anahesabika kama mbia kwenye biashara na yule aliemkopesha. Sasa wewe na hio NMB yako, ukipata hasara bank inafanya nini? inapata hasara au inakuja kuchukua bondi ulioweka?
Tatizo vichuki vyenu vinawafanya akili zilale
Watakwambia mambo haya.
Leta mchanganuo wa gharama za ujenzi wako, sema wapi wapi zinapaswa kulipiwa, kisha wataweka faida yao ikiwa watazilipa hizo gharama. Sasa ukikubaliana nao wanakuja kulipa au kukununulia hicho unachokihitaji, mwisho wa siku wewe utakuja kuwalipa hizo gharama pamoja na faida yao.
Kwa mfano.
Wewe unataka kujenga nyumba, kiwanja unachotaka kununua kinauzwa Milioni 5, basi ukienda kwao kutaka kukopa milioni 5 ili kununua kiwanja, watakwambia tuonyeshe kiwanja na muuzaji, wao watakwenda kukinunua kwa niaba yako kwa hiyo milioni 5, na wewe utapaswa kuja kuwalipa benki Milioni 5 yao pamoja na FAIDA yao baada ya muda fulani mtakaopata. Sasa hiyo faida itakuwa kiasi gani? Hayo ni mapatano ya wewe na wao kutegemea Muda utakaotumia kulipa na kiasi utakachotaka kukopa.
Wao wanakwepa neno RIBA lakini wanataka neno FAIDA. Na ili kutaka kukuonyesha(kukuzuga!) kuwa Riba na Faida ni kitu tofauti kwa kuwa uislamu hauruhusu Riba, basi wanaweka hizo kona kona za 'kiswahili kiswahili'.
Hujui Biashara utaelewa wapi? ushazoea kudhulumu na kudhulumiwa 😀Kumbe ndio wajanja hivi hahahaaaaa
Dhamana yao ni hivyo walivyokupa ufanyie biashara/ujijenge. Uki default njiani, na wao ni hasara kwao. Ndio maana Islamic bank hawakupi pesa bali wanakufanyia icho unachotaka. Wao mara zote wanataka ufanikiwe ili wajilipe chao, maana wanajua ukipata hasara, na wao kwao ni hasara, hawaji kukuchukulia nyumba yako.Hivi Islamic banks hawachukui dhamana wakikopesha?
Hiii imekaa vzr, je masharti ni lzm uwe muislam? au vigezo vyao vikojeDhamana yao ni hivyo walivyokupa ufanyie biashara/ujijenge. Uki default njiani, na wao ni hasara kwao. Ndio maana Islamic bank hawakupi pesa bali wanakufanyia icho unachotaka. Wao mara zote wanataka ufanikiwe ili wajilipe chao, maana wanajua ukipata hasara, na wao kwao ni hasara, hawaji kukuchukulia nyumba yako.
Pia unapoona kuwa huwezi kulipa kwa kile kipindi ambacho mmekubaliana na unahitaji mda, wakijiridhisha hasa kuwa ni kweli mambo magumu, basi wanatakiwa wakuongezee mda tena bila ya penalty. Ila ukiwa hujalipa kwa awamu mlizokubaliana na ukakosa sababu ya msingi wana haki ya kukutoza adhabu.
Sasa kwenye bank zetu za kawaida ni vice versa ya hio model. Kwanza kiukweli, mabenk wanataka watu waendelee kuwa kwenye madeni tu, ili wawatoze izo RIBA. Wewe ukifanikiwa usifanikiwe wao wanakuja kuchukua dhamana ulizoweka.
Hiyo ni riba wanakwepa neno riba ila wana riba kubwa sanaWatakwambia mambo haya.
Leta mchanganuo wa gharama za ujenzi wako, sema wapi wapi zinapaswa kulipiwa, kisha wataweka faida yao ikiwa watazilipa hizo gharama. Sasa ukikubaliana nao wanakuja kulipa au kukununulia hicho unachokihitaji, mwisho wa siku wewe utakuja kuwalipa hizo gharama pamoja na faida yao.
Kwa mfano.
Wewe unataka kujenga nyumba, kiwanja unachotaka kununua kinauzwa Milioni 5, basi ukienda kwao kutaka kukopa milioni 5 ili kununua kiwanja, watakwambia tuonyeshe kiwanja na muuzaji, wao watakwenda kukinunua kwa niaba yako kwa hiyo milioni 5, na wewe utapaswa kuja kuwalipa benki Milioni 5 yao pamoja na FAIDA yao baada ya muda fulani mtakaopata. Sasa hiyo faida itakuwa kiasi gani? Hayo ni mapatano ya wewe na wao kutegemea Muda utakaotumia kulipa na kiasi utakachotaka kukopa.
Wao wanakwepa neno RIBA lakini wanataka neno FAIDA. Na ili kutaka kukuonyesha(kukuzuga!) kuwa Riba na Faida ni kitu tofauti kwa kuwa uislamu hauruhusu Riba, basi wanaweka hizo kona kona za 'kiswahili kiswahili'.
Ulishawahi kupata mkopo wa aina inayozungumziwa?Kiufupi wanatoza riba (tena kubwa tu) ila kwa mtindo tofauti ikiwemo kuweka kona kona, ujanja ujanja wa maneno na kujitahidi kuipa jina tofauti hiyo riba.
Kama hujaelewa, embu jaribu kutafakari tofauti ya Nguruwe, Kitimoto, Mdudu na Mbuzi katoliki.
majini mengi yanaleta pesaNaomba kujua mfumo wa Islamic Banking unapataje faida kama wao hawatozi riba? Kama hawana riba wanalipaje wafanyakazi na kukodi majengo? Nakopa million 100 narudisha milioni 100 hapa mtaji unakua vipi?
Sio lazima uwe muislam. Kuna bank ambazo sio za kiislam lakini zina account yenye kufuata izo taratibu, ndio uombe ufunguliwe hio. Haijaalishi upo dini, mfumo upo kwa kila mmoja.Hiii imekaa vzr, je masharti ni lzm uwe muislam? au vigezo vyao vikoje
Ahsante kwa kunielewesha MkuuSio lazima uwe muislam. Kuna bank ambazo sio za kiislam lakini zina account yenye kufuata izo taratibu, ndio uombe ufunguliwe hio. Haijaalishi upo dini, mfumo upo kwa kila mmoja.