Naomba kujua namna Islamic Banking inavyopata faida

Ukitaka tende za madina ilhali wewe unazo za maka basi uza zako za madina ili ununue za maka uki exchange tende kwa tende basi hiyo ni riba.
 
Nipo Mwanza kabla ya kurudi Tarime,kesho naenda kuwaona nipate uhalisia.Nitaleta mrejesho hapa jamvini.
 
Huo Ndo ukweli.Inajulikana there is quite difference btn Profit and Interest lakini wao wanatumia interest kwa jina la Profit.Mfano kwa interest (riba)Nikimkopesha MTU sh.100 kila mweI unaozidi nikimwambia atalipa 50 akaja lipa baada ya miezi 5 itaongezea kwa 50.But profit wherever itaremain tuliyokubaliana.Hata ipite miezi 5 nitalipa iyo 150,50 kama faida haiongezeki.Sasa wao wanatumia njia za interest (Riba)kwa mgongo wa Profit(faida)Na hawakopeshi pesa wao Ni materials kama mdau mmoja alivyofafanua .Huyo aliyesema Milioni 100 atalipa 100 .Nothing like that .
 
Kwanza hizo pesa utazipata wapi?ukitaka million 100 wataenda kukufanyia kitu cha million 100.pesa mwiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…