Naomba kujua nauli ya basi kutoka Mbeya hadi Kigoma ni shilingi ngapi?

Mgiriki MTz

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
330
Reaction score
270
Habari wana JF,

Naomba kujua nauli ya basi kutoka Mbeya hadi Kigoma ni shilingi ngapi? Pia, naomba kujua kama kuna basi la moja kwa moja Mbeya to Kigoma?

Nawasilisha.
 
Basi za moja kwa moja hakuna, inabidi uunge kutoka aidha mbeya kwenda rukwa then kigoma au upite ya kati kutoka mbeya kwenda tabora.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Gharama yake inategemea kama umepanda na Waha wengi / hawamo ila nakuomba omba upande Waha wakiwa hawamo kwani wana Fujo mno.
 
MBEYA to SUMBAWANGA 15000/-(Lazima ulale Sumbawanga)
SUMBAWANGA to KIGOMA 35000/-
 
MBEYA to SUMBAWANGA 15000/-(Lazima ulale Sumbawanga)
SUMBAWANGA to KIGOMA 35000/-

Mwambie akipanda na Waha wengi humo na kutokana na Mikelele yao ya Ubishani Nauli itaongezeka kwa kupewa Pamba za Kukinga Makelele.
 
Hakuna basi la moja kwa moja, ili ufike Kigoma una machaguo ya kupita Rukwa au Tabora.

Njia ya Rukwa itakubidi upande basi la Mbeya kwenda Mpanda utafika jioni, utalala kesho Asubuhi utapanda basi ya Mpanda-Kigoma napo utafika mchana.

Ukipita njia ya Tabora-Mbeya itabidi kesho yake utafute gari ya Tabora-Kigoma.
 
Vip nikipitia ya tabora kigoma nafika saa ngapi?
 
Mbeya Pitia Dodoma, Hapa Kuna Bus Inaanza Hapa Inaitwa AN, Utapitia Tabora Hadi Kigoma
Ila Lazima Ujue Ni Safaris Ndefu Sana

Nakutakia Kila La Heri, Huko Nimekaa Ni Kwenda Huna Namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…