Naomba kujua Nyumba zinazonukia, Wanafanyaje?

location please
 
Ukipata mke mchafu sijui utamuacha? kwa usafi huo hatareeee.
 
Acha kabisa......nilitamani 'kuomba urafiki'
hahaa

nilifika hiyo nyumba for business only....ila ilivyokuwa inanukia nilitamani kujua zaidi kuhusu hilo
Na hao ndo kosa ungemsifia muhusika na ukamuuliza sidhani kama kuna ubaya kuuliza jambo katika kujifunza au kuiga.. ILA Kuna Aifrenshner kama walivyozungumzia walopita za kuspray kawaida na za ukutani, na candles kama aliwasha candles inawezekana zimechania..Japo wengine wamezoea Udi (Oud)...
 
Kwa jinsi nilivyo, kupata mke mchafu ni muhali!
Unafikiri tabia mbaya zinaanza kwenye uchumba? subiri ameolewa amezaa utakuta nguo chafu uvunguni .Wengi huwa hawaamini wake au watu wao wa karibu wamebadilika.Usafi ni mzuri ila ukizidi kila anakuyepitia unamuona mchafu ht mzazi wako utafika wakati utamuona kinyaa.
 
Mi mwenyewe natamani ninukie kabla hata ya nyumba kunukia maana kuna thread moja ya maperfume ya maana niliionaga humu mpaka nikachanganyikiwa nitafute ipi

Sasa hii ya nyumba ndo nasikia leo
 
Bei yake?
 
Raha sana nyumba yako ikinukia, mm kuna harufu flani wananukiaga wazungu hua zinanidatisha kinoma sijui wanatumia nini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…