Unajiuliza ukauze BIDHAA zako wapi?
Sio lazima ukae kwenye frem yako kila siku kusubiri wateja, unaweza kutafuta siku ambazo kuna Gulio maeneo mbalimbali ukaenda kuuza bidhaa zako.
.
Pia hii ni sehemu nzuri kwa wasio na frem. Fuata wateja walipo.
.
Uzuri wa siku za gulio kunakua na watu wengi hivyo uwezekano wa kuuza ni mkubwa.
.
Aya unaweza kuhudhuria haya masoko kwa watu wa Dar es Salaam na Pwani
Kunduchi Mtongani - IJUMAA.
Tegeta Mkanada _Jumamosi
Boko Chama _Jumanne
Bunju B _ Alhamisi .
Tabata Segerea (Barakuda) - Jumanne
Kimanga - Jumatano
Goba _Jumatano AU Jumapili .
Bagamoyo _ Jumatatu
Kibamba -jumatano
Pugu kona/ Kajiungeni _ jumamosi
Viwege kwa Mpemba_ ijumaa
Ubungo mawasiliano _ Ijumaa.
.
Chanika _Jumatano.
Tegeta_Ijumaa.
Kinondoni B_ jumamosi
Madale mwisho _jmosi.
.
Mbande - Jumanne.
Kinyerezi_ Jumatatu
Kinondoni Biafra_ Jumamosi
Kitunda _ ijumaa
lugoba_Jumatatu
Msata _Jumanne
Chalinze - Jumatano
Mbande _Jumatatu
Kivule _Jumamosi
Kigamboni geza _Jumapili
Kigambonimnadani _ Alhamisi.
Kigamboni_Ungindoni Jumanne.
.
Kibaha kwa Mathias_ Ijumaa.
Kibaha Loliondo _Jumamosi
Kibamba_Jumatano
.
Gulio ni sehemu maarufu kwaio ukifika huko unaweza kuulizia hasa ukaonyeshwa sehemu.
.
Kwenye magulio huwa kunakua na ushuru kidogo utalipia ikiwepo.
.
Kama wewe ni Mjasiriamali au mfanyabiashara usikae sehemu moja, unaweza kuzungukia magulio (masoko) kuuza bidhaa zako.
.
Tuambie, Sehemu gani nyingine kuna gulio? Una uzoefu gani na haya magulio kwenye kuuza bidhaa?
Magulio zaidi angalia comments za hii post na magulio nje ya Dar es Salaam pia follow IG @kelvinkibenje