Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nipe majibu na sio kuja na vihojaPunguza mzuka bwana Mnyapara
Waandishi wanaruhusiwa kwenda kumuona?Ya Takukuru!
Toka lini wwe ukasikia kuna Kiongozi aliye wai kafungwa hapa Tanzania!?nadhani yupo kwenye mahabusu zao takukuru na hii ni kutokana na kukusanya taarifa ambazo wanazihitaji, ikifikia swala la kumfikisha mahakamani sasa ndio atarudi kwenye mahabusu hizi za kawaida.
mambo mengine ukiyaachia hazards kwa kuwa unafuata utaratibu unaweza usipate taarifa unayohitaji kufanyia kazi.
Maeneo ya wapi kamandaRest house.
P
Hii inakuaje mkuu, msaada tafadhaliRest house.
P
kweli shule husaidia sana, nafikiri wale ambao wako na uhamu wamenielewaPunguza mzuka bwana Mnyapara
Kwani sabaya ni mkazi wa Dar?Rest house.
P
RC wa mbeya hakuwa na unyanyasaji kama wa Sabayamimi ccm siamini lolote mpaka litendeke, kumbuka hao ndio wameharibu taifa hili toka tupate uhuru, kaa mtu rc mbeya amepewa rc wa mwanza kweli safari ni ndefu hapa tz
Huwa hawana mahabusu ya kuweka mtu mda mrefu bali hutumia mahabusu za PolisiWakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahijiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani ?...