Naomba kujua Sabaya anashikiliwa katika mahabusu gani?

RC wa mbeya hakuwa na unyanyasaji kama wa Sabaya
ndio mkuu lakini wewe unaifahamu kazi ya rc? mtu anaongoza mkoa mzima, je usamusikiliza chalamila akiongea, huyu hata mweyekiti wa nyumba kumi hasitahili kupewa, its not an issue ya kuwa mubaya, issue ni perfomance sir or ability to perform, chalamila cant do much
 
Makao makuu takukuru wanazo mahabusu pia huwaweka salendar pale wengine asubuhi wanakufuata.....jioni unarudi
 
Naona kama kuna kusigana kidogo ndani ya viongozi wa chama kile. Yuko mhanga wa Sabaya ambaye anaona chama chke hakitashiriki uchaguzi 2025 kulingana na nguvu ya mfumo inayokwamisha utendaji huru wa tume ya uchaguzi (hoja ya nguvu), na yule bwana mwenye ushawishi na mtia nia na aliyejiandaa kugombea 2025!!

Mhanga anapenda kuona mtesi wake akisulubiwa kutokana na uovu wake, mtia nia anahoji kwa nini mtesi wa mhanga ashikiliwe kinyume na taratibu za sheria.
 
Nilidhani utaulizia atazikwa Kaburi gani.
 
Naanza kuziona dalili za kuja kuambiwa Sabaya "amejinyonga" akiwa ndani ya cell.
Hii ni baada ya wakubwa kuona kuna kuaibika mbele ya safari kama Sabaya atakomaa kuwa alikuwa anatumwa na mwendazake na viongozi wengine wa chama ambao bado wako ndani ya utawala huu.
Nani atakubali hayo yasemwe hadharani?
 
Na yule mpwa wa kusema tutatumia sindano kuua watu naye akamatwe na kuhojiwa aseme alikuwa anatumwa na nani?
 
Kwani kuna sheria inayoruhusu DC kuwa na mabaunsa
 
Alete ushahidi kuhalalisha ujambazi wake.Mimi angenipora angezitema
 
Kutumwa na mtu ukafanye ujambazi sio tiketi ya kukuokoa au kukulinda dhidi ya uhalifu
 
Sabaya alitenda mabaya ya kishetani akizani mtukufu magufuli angekuwa Rais wa milele kama China lakini sasa ameumbuka anajuuta kutekeleza udikiteta wa marehemu magufuli
Lema alimuonya akabaki kumwambia lema we unatumia nini yeye akifanya uporaji.
Yule Bwana alituharibia Sana nchi.Akuangalia cv ya mtu bali kabila na juhudi zako binafsi za kuwashughulikia wapinzani.
Sabaya bashite waliamini ndumba zina nguvu kuliko Mungu.
 
Alikuwa anamtuma abake wanawake?
 
Yote haya yanawezekana na hii issue inaweza kwisha kimyakimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…