uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,657
- 2,406
Ndugu siyo TAKUKURU peke yao ,hata wewe unaruhusiwa kumkamata mharifu na kumfikisha kwenye vyombo vya dola(polisi).Kikubwa ni kuzingatia sheria za ukamataji.sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa
Mkuu unataka ujue mahabusu alipo ili uende kufanya kosa maeneo hayo ili ukamatwe uingizwe ndani ukutane naye uso kwa uso umnyongelee mbali..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahojiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani? Pili, napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.
Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Takukuru hutumia sero za polisi kuhifadhia watuhumiwa wao, huwahifadhi katika sero, na wanapo hitaji kuwahoji huenda kuwachukua, wakimaliza kuwahoji huwarudisha huko . Mpaka watakaporidhika wana ushahidi wa kumpeleka mahakamani ndipo hufungulia mashitaka.Aksante kwa taarifa kaka😃.
Sio kwamba ataila yakoMwenyewe nataka kujua nikamle 0712
Nawewe unataka?Sio kwamba ataila yako
Unataka niile yakoNawewe unataka?
Pasco Pasco umesema?. Wejamaa wewe!.Ndiyo wapi huko mkuu?
Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahojiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani? Pili, napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.
Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.
Ka ingia cha kike ndugu yako! Na nikueleze tu, Yani kwa Mkutugenzy Hamduni? Haki bin haki, jamaa hataonewa, ila Kama kakosea hakutakuwa na Rehema!Wakati tunaambiwa Sabaya anashikiliwa na TAKUKURU kwa mahojiano, binafsi ningependa kujua anashikiliwa katika mahabusu gani? Pili, napenda kuuliza kama sheria inaruhusu TAKUKURU kukamata watuhumiwa na pia kama sheria inawaruhusu kuwaweka ndani mahabusu.
Mwisho, hivi kuna vyombo vingine vya habari vinavyoripoti habari za Sabaya zaidi ya gazeti la Raia Mwema? Nina mashaka sana na mwenendo mzima wa hiki tunachoambiwa au kukisoma kuhusu Bwana Sabaya.