Wolle Melkas Fernando
JF-Expert Member
- May 4, 2016
- 253
- 360
Ndugu wafanyabiashara, wajasiriamali na wabobezi wa masuala ya uchumi wasalaam!
Mimi huwa najishughulisha na uchimbaji wa madini ya Rubby na Dhahabu, sasa naomba kwa mwenye uzoefu wa soko zuri la rubby na dhahabu anielekeze ni wapi kuna bei nzuri au bei ina-range kuanzia kiasi gani kwa gram ya dhahabu?
Kabla ya hapo nilikuwa nauza kwa walanguzi tu, lakini kwa sasa nahitaji kupata soko la uhakika.
NB: Vibali vyote ninavyo.
Mimi huwa najishughulisha na uchimbaji wa madini ya Rubby na Dhahabu, sasa naomba kwa mwenye uzoefu wa soko zuri la rubby na dhahabu anielekeze ni wapi kuna bei nzuri au bei ina-range kuanzia kiasi gani kwa gram ya dhahabu?
Kabla ya hapo nilikuwa nauza kwa walanguzi tu, lakini kwa sasa nahitaji kupata soko la uhakika.
NB: Vibali vyote ninavyo.