Naomba kujua, tiles zipi Bora 50*50, 60*60, 40*40

Naomba kujua, tiles zipi Bora 50*50, 60*60, 40*40

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
Siweki uzi mrefu, Kuna kitu kina nitatiza, nataka kujua marumaru ipi ni Bora kati ya 69*60, 50*50, 49*40, 30*30

Kinachonichanganya zaidi ni box moja la 60*60 linajenga square MITA 1.44 ndo ghali zaidi.
50*50 box boja inajenga skwea MITA 1.75 bei raisi kuliko 60*60

Za 40*40 hizi box moja inajenga skwea MITA 1.92 lakini ndo bei Chee kuliko za hapo juu

Sasa nashindwa kuelewa , marumaru ya 60 ni ghali na inajenga sehemu ndogo.

Maru Maru ya 40 ni rahisi na inajenga sehemu kubwa.

Sasa hapa Bora ni ipi, na kwanini
 
Nijuavyo mimi ni kwamba thikness ya Tiles za 60 kwa 60 ni nene kuliko 40 na 50 kwa hiyo inauwezo wa kuhimili mikiki ya kutokuvunjika(ikijengwa) kuliko nyingine.
Kwahiyo hapo mtaalamu ipi ni bora
 
Siweki uzi mrefu, Kuna kitu kina nitatiza, nataka kujua marumaru ipi ni Bora kati ya 69*60, 50*50, 49*40, 30*30

Kinachonichanganya zaidi ni box moja la 60*60 linajenga square MITA 1.44 ndo ghali zaidi.
50*50 box boja inajenga skwea MITA 1.75 bei raisi kuliko 60*60

Za 40*40 hizi box moja inajenga skwea MITA 1.92 lakini ndo bei Chee kuliko za hapo juu

Sasa nashindwa kuelewa , marumaru ya 60 ni ghali na inajenga sehemu ndogo.

Maru Maru ya 40 ni rahisi na inajenga sehemu kubwa.

Sasa hapa Bora ni ipi, na kwanini
Siko sure kama nitakuwa sawa kama nitakosea nitarekebishwa.
Kwa kawaida box ya tiles inacover square meter 1.
So kama ni tiles za 60 x 60 ina maana zitakuwa chache kwakuwa ni kubwa ila 30 x 30 zitakuwa nyingi kwa kuwa ni ndogo. Ubora sidhani kama unatokana na vipimo hivyo bali na utengenezaji wake.
 
Siko sure kama nitakuwa sawa kama nitakosea nitarekebishwa.
Kwa kawaida box ya tiles inacover square meter 1.
So kama ni tiles za 60 x 60 ina maana zitakuwa chache kwakuwa ni kubwa ila 30 x 30 zitakuwa nyingi kwa kuwa ni ndogo. Ubora sidhani kama unatokana na vipimo hivyo bali na utengenezaji wake.
Mh hapa kama umeongea kichina, hujaeleweka. Halaf Kila box ya tile Ina ukubwa inayoweza kujenga na si lazma iwe MITA moja
 
Siko sure kama nitakuwa sawa kama nitakosea nitarekebishwa.
Kwa kawaida box ya tiles inacover square meter 1.
So kama ni tiles za 60 x 60 ina maana zitakuwa chache kwakuwa ni kubwa ila 30 x 30 zitakuwa nyingi kwa kuwa ni ndogo. Ubora sidhani kama unatokana na vipimo hivyo bali na utengenezaji wake.
Soma huu uzi kuna comment moja jamaa kaeleza vizuri labda utaelewa nikichokuwa najaribu kueleza Naomba kujua gharama za kuweka tiles kwa chumba kimoja
 
Imani yangu tiles kutoka India, Uturuki au Pakistani kama zipo basi zinakuwa na ubora zaidi. Na kuhusu kucover eneo kubwa pia ni jambo la msingi zaidi.
Siku hizi wengi tunapendelea 60*60 au 50*50 kwa chini kwasababu zinapendezesha nyumba.
 
Nijuavyo mimi ni kwamba thikness ya Tiles za 60 kwa 60 ni nene kuliko 40 na 50 kwa hiyo inauwezo wa kuhimili mikiki ya kutokuvunjika(ikijengwa) kuliko nyingine.
Hilo ndio jibu kwa kuongezea tu 60 zinapendeza pia kwakuwa mistari ni michache
 
Tofauti ni unene (thickness) ya tiles, 60*60 ni nene kuliko 50*50, hivyohivyo 50*50 ni nene kuliko 40*40. Pia muonekano-60*60 zinakuwa na mistari Michache hivyo kufanya muonekano wa nyumba kuwa mzuri, ndio maana wengi huweka 60*60 sebleni na 40*40 vyumbani na sehemu nyingine
 
Tofauti ni unene (thickness) ya tiles, 60*60 ni nene kuliko 50*50, hivyohivyo 50*50 ni nene kuliko 40*40. Pia muonekano-60*60 zinakuwa na mistari Michache hivyo kufanya muonekano wa nyumba kuwa mzuri, ndio maana wengi huweka 60*60 sebleni na 40*40 vyumbani na sehemu nyingine
Asante sana
 
Back
Top Bottom