Yellow donaty
Senior Member
- Jan 16, 2023
- 113
- 271
Mpaka sasa bado haujaelewa tu? Mbona majibu yapo wazi kabisa.Naomba kujua ugumu unatoka wapi kwa mtoto wa kiume kupewa connection ya kazi na mwanaume mwezie?
Ila kwa mtoto wakike sio ngumu hii kwangu sio sawa kabisa
Ila tusaidiane sisi kwa sisi piaMpaka sasa bado haujaelewa tu? Mbona majibu yapo wazi kabisa.
"Wanawake ni special group"
Shida wanaume tumejaa tamaa ya ngono. Hii ndiyo inatufanya tuwape kipaumbele wanawake kuliko wanaume.Ila tusaidiane sisi kwa sisi pia
Aha sawa ngoja sisi tupambane kwa nguvu zetu hila siku ukiunwa ukichaa mwanamke hawezi kukufunika nguo watakucheka tuShida wanaume tumejaa tamaa ya ngono. Hii ndiyo inatufanya tuwape kipaumbele wanawake kuliko wanaume.
Oh okBaada ya kupewa connection Kuna kurudisha mkono.
Mwanamke aliyepewa connection ya kazi na mwanaume anaweza kurudisha mkono kwa njia tofauti iitwayo " paying in kind"
" Paying in kind" maana Yake Ni Yale malipo yaliyo tofauti na vitu tangible Kama pesa ambayo mtu anaweza kumlipa mwenzake.
Mwanamke anaweza kumpa "UTELEZI" mwanaume aliyempa connection ya muhimu.
Malipo ya aina hiyo hutokea baada ya Memorandum of understanding ( M.O.U) Kati ya wahusika.
Ni kweli ndugu ipo hivyo. Wanawake wanaturudisha nyuma sana kimaendeleo.Aha sawa ngoja sisi tupambane kwa nguvu zetu hila siku ukiunwa ukichaa mwanamke hawezi kukufunika nguo watakucheka tu
Kama hakuna undugu wala kufahamiana kwa namna yoyote basi lengo kubwa linakua ni kupata reward ya ngono. Hata hapa jf nenda kule jukwaa la ajira fatilia thread za wanawake na wanaume wanaoomba msaada wa kupata kazi utaona threads za wanawake ndio zina comments nyingiNaomba kujua ugumu unatoka wapi kwa mtoto wa kiume kupewa connection ya kazi na mwanaume mwezie?
Ila kwa mtoto wakike sio ngumu hii kwangu sio sawa kabisa
Kweli.thread za madem kuomba kaz watu wanatoa misaada hatar ila kidume mmh comment 2 afu za nenda kalime.Kama hakuna undugu wala kufahamiana kwa namna yoyote basi lengo kubwa linakua ni kupata reward ya ngono. Hata hapa jf nenda kule jukwaa la ajira fatilia thread za wanawake na wanaume wanaoomba msaada wa kupata kazi utaona threads za wanawake ndio zina comments nyingi
Sana mzee.Saiv mfumo wa kimapenz ni hela hela tu.Ila ni bora umsaidie boy, demu unampa conncetion ananz kutoka na boss anakusagia kungun na kazi unafukuzwa.Ni kweli ndugu ipo hivyo. Wanawake wanaturudisha nyuma sana kimaendeleo.
Wanawake wanafadhila sana kuliko wanaume. Huwezi kumkukuta mwanamke uliyemuunganishia connection na kumla halafu akakusagia kunguni. Mwanamke ukishamla hana ujanja tenaSana mzee.Saiv mfumo wa kimapenz ni hela hela tu.Ila ni bora umsaidie boy, demu unampa conncetion ananz kutoka na boss anakusagia kungun na kazi unafukuzwa.
Sivyo mnakosea ukisema hivyo siyo wote tupo ivyoShida inakuja kwamba no mara waaah binadamu Hana shukrani. Bora demu utapiga tu mzigo no mara waah
Ngoja tuzidi kuomba MunguKama hakuna undugu wala kufahamiana kwa namna yoyote basi lengo kubwa linakua ni kupata reward ya ngono. Hata hapa jf nenda kule jukwaa la ajira fatilia thread za wanawake na wanaume wanaoomba msaada wa kupata kazi utaona threads za wanawake ndio zina comments nyingi
Mojawapo wa mtu ambaye katika malezi yake hakulelewa na kukuzwa kiume ni pamoja na mtu anayejinasibu kuwa ni mwanaume halafu inapokuja maswala ya fursa au kuwezesha ana amini kuwa akiwapa mademu basi atapata credit na kupata nyapu za bei nafuu.Naomba kujua ugumu unatoka wapi kwa mtoto wa kiume kupewa connection ya kazi na mwanaume mwezie?
Ila kwa mtoto wakike sio ngumu hii kwangu sio sawa kabisa
Hayajakukuta. Tema mate chini kisa sema ulimi koma.Wanawake wanafadhila sana kuliko wanaume. Huwezi kumkukuta mwanamke uliyemuunganishia connection na kumla halafu akakusagia kunguni. Mwanamke ukishamla hana ujanja tena
Mungu ndo Kila kitu, kwenye mapambano ni kumtanguliza Mungu. Mungu ni mwema.Naomba kujua ugumu unatoka wapi kwa mtoto wa kiume kupewa connection ya kazi na mwanaume mwezie?
Ila kwa mtoto wakike sio ngumu hii kwangu sio sawa kabisa