Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Hakuna kiama mkuu, hizo ni hadithi za kiama ni kama zile movie za fiction za Hollywood. Kama huamini mtafute Kiranga
Kwann kama haamin amtafute kiranga? kiranga ndo nan had aaminiwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kiama mkuu, hizo ni hadithi za kiama ni kama zile movie za fiction za Hollywood. Kama huamini mtafute Kiranga
kabla ya kujadili hlo la vitabu umeelewa kwanza kwa nini kuna kiama? maana ndiyo agenda mkuuKwann unipe limit ya kutumia biblia ya vitabu 66.? Kwann nisitumie bibilia inayozidi vtabu zaid ya 66? Wap yesu au mungu amemrisha bibilia inayopaswa kutumika n vitabu 66?
kabla ya kujadili hlo la vitabu umeelewa kwanza kwa nini kuna kiama? maana ndiyo agenda mkuu
swali gani hujajibiwa?Sawa mkuu nimekishika nilichofundishwa na kukifata mpaka muda huu ila bado hujanipa majibu ya maswali yangu.
mkuu unatumia biblia yenye vitabu vingapi? tuanzie hapo kwanzaHilo la kiama ndo najifunza hapa kwahyo ukinijbu na hlo la vtabu utakuwa umepga ndege wawili kwa jiwe moja
mkuu unatumia biblia yenye vitabu vingapi? tuanzie hapo kwanza
Teh teh, lugha ya picha.atarejea yerusalemu ipi?? hii hapa mashariki ya kati? Siamini kitu kama hicho. Mbona patakuwa padogo sana? hiyo "yerusalemu mpya" ni picha tu bwana ya dunia mpya yenye amani na furaha tele. Au kuna uthibitisho tofauti wa maandiko? halafu hiyo milima na mito watakayokimbilia "waovu" si milima na mito halisi bali njia wanazotumia watu kutafuta msaada wanapopigwa na ghadhabu/misukosuko. "Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso". Sasa hao "waovu" wakati wa mateso badala ya kukimbilia kwa Mungu wanakimbilia kwa vitu vingine. Ndo hivyo vimepewa jina la milima na mapango.
Which argument can you provide to denounce God existence!!THERE IS NO GOD,ENJOY YOUR LIFE TO THE MAXIMUM! BE HAPPY
Karibu katika ulimwengu huru
...........Free ideas.......
Which argument can you provide to denounce God existence!!
What is the supportive claim for your belief that God does not exist
Mojawapo ya yale yanayonitatiza ni kuona kuwa nikiwa kwenye usingizi wangu wa pono kama nisipobahatika kuota chochote nakuwa sielewi chochote kinachoendelea juu yangu aidha kimwili au kiroho.
Lakini tunapokufa na mwili kuoza roho zetu zinabaki na kuendelea ku experience hali fulani (mateso au raha) sehemu fulani huku ikisubiri siku ya kiama! Lakini wakati nilipokuwa hai nikawa tu usingizini mimi au tuseme roho hiyo hiyo haikuweza ku experience chochote kilichoweza kubaki kama kumbukumbu akilini mwangu wakati na baada ya huo usingizi wangu.
ok soma zote maana naamin vitabu vyote vinahvyo vitabu nlivyotaja, ila kama hazina hayo mafungu nlikuandikia hapo juu, njoo tena..Mkuu badala unisaidie majibu unaanza tena kuni uliza maswali tens. zipo zote hapa ipo ya 66 ipo 73 ipo yenye vitabu chini ya hvyo 73 na 66
Free Ideas sijakariri na ndiyo maana kuna vitu najiuliza na kuviweka hadharani ili kupata ufafanuzi. Nimeandika kulingana na kile ninachofundishwa na kuamini katika dini yangu.Umejuaje kuwa ukifa roho(kama ipo)inabaki ?.Kwani umeshawahi kufa ?.Acha kukariri story za kufikirika.
.... Free ideas....
What do you mean by evidence?Simply coz there is no evidences for his/her/its existence!
................ free ideas.........