Naomba kujua ukweli kuhusu 'kiama'

Naomba kujua ukweli kuhusu 'kiama'

Kwa nini Mungu atunyooshe Wakati we unadai ndio katuumba? Why atudhuru?
ametuumba ila katujuza kuwa tukitenda mabaya atatunyoosha na tukitenda mema tutaishi nae kwa furaha milele. ukichagua mabaya ni sawa na kujinyoosha mwenyewe
 
ametuumba ila katujuza kuwa tukitenda mabaya atatunyoosha na tukitenda mema tutaishi nae kwa furaha milele. ukichagua mabaya ni sawa na kujinyoosha mwenyewe
Hakuna kitu, kama maandiko mengi ya hizo riwaya zenu yanavyosema ati kabla hata hujazaliwa Mungu huwa anajua kama we ni wa motoni au sio wa motoni, kama ni hivyo kwa nini akuadhibu wakati kaishakupangia pa kwenda? Think big.
 
Hakuna kitu, kama maandiko mengi ya hizo riwaya zenu yanavyosema ati kabla hata hujazaliwa Mungu huwa anajua kama we ni wa motoni au sio wa motoni, kama ni hivyo kwa nini akuadhibu wakati kaishakupangia pa kwenda? Think big.
kwani ww hujui mabaya ni yapi na mema ni yapi? chagua mema uende Mbinguni na chagua mabaya uende motoni. umepewa akili na utashi wa kuchagua. Mungu hapangi nani aende Mbinguni na nani aende motoni, ila kwakuwa uwezo wake ni mkuu, anajua nani ni wa wapi!
 
kwani ww hujui mabaya ni yapi na mema ni yapi? chagua mema uende Mbinguni na chagua mabaya uende motoni. umepewa akili na utashi wa kuchagua. Mungu hapangi nani aende Mbinguni na nani aende motoni, ila kwakuwa uwezo wake ni mkuu, anajua nani ni wa wapi!
Wewe huna Elimu ya hizo riwaya zako, soma vizuri tena, unajua maana ya Alpha na Omega? Mungu unajua destiny ya kila binaadamu na mwisho wake, sasa kwa nini anajua utaenda motoni halafu anakuacha hata ukiomba vipi utachomwa tu kwa kuwa alishapanga! So why worry your self?
 
Haya mambo ya kiroho kwa kiasi kikubwa yana utata sana. Tunaambiwa mtu yaani nafsi anapatikana kutokana na muunganiko wa mwili na roho (pumzi ya uhai) na kwamba mtu huyo anapokufa mwili uoza lakini roho ubaki ikisubiri siku ya kiama. Sasa swali ni kwamba kama kiama kinaanza muda au siku ile mtu anapokufa iweje adhabu iwe ni kwa roho tu na siyo kwa mwili pia wakati kipindi cha kutenda dhambi vilikuwa pamoja?

Na kama mateso yanaanza mara moja baada ya mtu kufa basi ni dhahiri kwamba wale wenzetu waliofariki karne nyingi zilizopita hadi siku ya kiama itakapofika watakuwa wamepata mateso makubwa zaidi (ya muda mrefu) kuliko wale watakao wamekufa miaka michache (mfano mwaka mmoja, miwili kumi n.k.) kabla ya hiyo siku ya kiama. Na kama wakianza kutumikia adhabu zao baada ya kiama hao waliokufa na kupata mateso karne nyingi zilizopita kuliko wengine watapunguziwa adhabu au la?!

Kingine mtu anazaliwa na kudumu duniani kwa dakika, masaa, siku au miaka michache tu lakini siku ya kiama anakuja kutumikia adhabu jehanamu milele! Daah...mimi hata sielewi bana.
mwenyewe sielewi mungu mwenye upendo na uwezo wote akaumba maovu ili iweje
 
Wewe huna Elimu ya hizo riwaya zako, soma vizuri tena, unajua maana ya Alpha na Omega? Mungu unajua destiny ya kila binaadamu na mwisho wake, sasa kwa nini anajua utaenda motoni halafu anakuacha hata ukiomba vipi utachomwa tu kwa kuwa alishapanga! So why worry your self?
ukiomba na kujibidiisha kuachana na maovu anakusaidia na moto wa milele utauepuka
 
Hahahah
Siku ya kufufuliwa tutatoka ktk tumbo la ardhi na kuulizana ardhi hii leo ina nini?!na kila atakaejiuliza amekaa mda gn kaburini jibu lake ni siku moja au ktk shm ya siku tu!km umelala then ukaamka.
Izrail mtoa roho kabla ya kiama atatumwa atoe roho viumbe wote waliobaki akimaliza atamuuliza mungu nimeshamaliza mungu atamjibu bado jamaa atarudi atazunguka kote hadi kw malaika atakuta wamekufa kisha atamrudia mungu kumueleza kwmb hamna kilichobaki.
Hapo mungu atamjibu ni ww pekee ndo umebaki jitoe roho unikabidhi ataitoa huku akilia kwa uchungu.
Baada ya hapo huku duniani itanyesha mvua ya shahawa na watu wataanza kufufuka na kujiuliza kuna nini tena tunaamshwa usungizi ulikuwa mtamu?!
Hapo ndo mungu muumba atasimama na kusema leo ndo siku ya haki hakuna atakaeonewa isipokuwa kwa aliyoyatenda.hii siku haina shaka ndugu zangu sbb huku duniani hakuna haki mkubwa anaonea mdogo tajir anatesa maskini
Hahaha! Hiyo mvua ya shahawa itanyesha ili kuwafufua watu ama?!
 
Mwili ulitoka katika udongo roho ilitoka kwa Mungu na Mungu alipomuumba mwanadamu ilikua aishi milele baada ya dhambi mwili ulidhibiwa kurudi maali pake roho ndio nayo urudi kwa mwenyenayo na apo ndio inakutana na ukumu kama ilitenda mabaya motoni au mbinguni kwa mungu mpendwa kuna neema Yesu elikuja kutuokoa na adhabu ya milele soma yohana 3 kuanzia mstali wa kumi na sita
 
Hahahah

Hahaha! Hiyo mvua ya shahawa itanyesha ili kuwafufua watu ama?!
Yes sir lbd sbb mwili ulishakuw mifupa ile ndo inaleta nyama.ila stak uniulize shahawa zinatoka wp sbb ht me cjui
 
God is simply unnecessary; the idea of a Creator has historically been substituted for true knowledge about reality, but today we know better.So “Ignorance of nature’s ways led people in ancient times to invent gods to lord it over every aspect of human life."


This is the “God of the gaps” contention, which states that science has now filled past gaps in human’s knowledge of how the universe works and any remaining holes in that fabric will be mended by future discoveries.

Karibuni katika ulimwengu huru
.........Free ideas....
 
God is simply unnecessary; the idea of a Creator has historically been substituted for true knowledge about reality, but today we know better....
Karibuni katika ulimwengu huru
.........Free ideas....
Ulimwengu huru ulijitengeneza wenyewe?

Who created the laws of nature?

Nimesikia hata computers na manowari zilijitengeneza zenyewe, karibuni kwenye ulimwengu wa full(fool?)automation!

Ni nani aliyeutengeneza huo ulimwengu huru unaosema?

Huwezi kumtambua Mungu unaposhindwa kujitambua mwenyewe. Na hiyo ndio Changamoto yako.

Link The Noble Quran - القرآن الكريم
 
God is simply unnecessary; the idea of a Creator has historically been substituted for true knowledge about reality, but today we know better.So “Ignorance of nature’s ways led people in ancient times to invent gods to lord it over every aspect of human life."
This is the “God of the gaps” contention, which states that science has now filled past gaps in human’s knowledge of how the universe works and any remaining holes in that fabric will be mended by future discoveries.
Karibuni katika ulimwengu huru
.........Free ideas....


 
Back
Top Bottom