Naomba kujua ukweli kuhusu 'kiama'

Inshaallah Amin
 

Umeelezeaa, ulivomalizia ikabidi nicheke tu
 
Mungu(ALLAH) ana sifa ya kukiambia kitu kua na kinakua na yeye ndio mfalme wa mbingu na ardhi,pia anaamua atakalo na wala hana mshirika.Mfano ameumba kifo na uhai ili atupime ni nani ni mwenye matendo mazuri kati yetu na wala haimaanishi kwamba hajui,ukisoma kisa cha nabii Adam katika Quran utaona sehemu ya utukufu wa mungu na jinsi anavyofanya mambo yake atakavyo na wala haitaji ushauri.Tatizo ndugu zetu injili mmeichakachua na mmendika mambo mengine kwa maslahi ya kidunia,hivi AGANO JIPYA ni kutoka kwa nani?Naomba ujiulize hivi mbona kila siku wenzetu mnapata manabii
 
Mimi naamini kiama ni kifo chako, kwa maana kama ipo hyo d-day kwanini wapo wanaotangulia kufa (toka enzi za adam na eve) mpka sasa dunia ni hii hii je huoni kuwa hakuna fair hapo? kama tutafufuliwa tena pamoja tutakuwa tumewaoneawenzetu wameteseka sana huko chini,
 
Kiama tutakitengeneza wenyewe baba!, siku ya mwisho ni pale Russia watakatoirushia Atomic yapata 100 America na Mchina akamrushia Mrussia, miUiran akamrushia mchina! amini nakwambia Dunia itabaki shamba na utakuwa ndo mwisho wa watu
 
Sasa Amenn kwa hiyo wale moto hautowahusu? Na vipi sasa walokufa kwa maji (enzi za nuhu) wengine kwa moto (sodoma na gomola) na vipi sisi kiama chetu na adhabu ya moto wa milele hauoni hapo kama kutakuwa hamna fair justice?
Mkuu wote waliokufa enzi nuhu (gharika ya maji) n.a. waliokufa enzi za Ibrahim kwa moto ( Sodoma n.a. gomora) wote wataletwa mbele ya kiti cha enzi Katika siku ya mwisho (final judgement). Soma kitabu cha ufunuo sura ya 21 na 22.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…