Naomba kujua upatikanaji wa ZTE AXON 40 Ultra na bei zake

Naomba kujua upatikanaji wa ZTE AXON 40 Ultra na bei zake

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
18,046
Reaction score
38,598
Kwa hapa nchini. Au mpaka kuagiza? Naona features&specifications zimenivutia.
Screen kubwa 6.8
Battery kubwa 5000 (japo charger watts ndogo)
Storage na RAM
Muundo wake unavutia. Nn.k

Sasa naomba mnijuze bei yake upatinanaji wake kwa hapa nchini
 
zte-axon-40-ultra-1 (1).jpg
 
Mkuu aliexoress hapo... Ikifika bongo utalipia 18% VAT kama ukishidwa mtafute MWl RcT atakusaidia
 
Flagship yoyote mkuu ni kuandaa tu milioni 2 siku hizi. Na Hizi highend za siku hizi hazikai na chaji compare na za 2019 na 2020, nakuona hapo umeikazania 5000mah, hio haitakusaidia ikiwa simu ina sd 8 gen 1.

gsmarena_387.jpg


Hii top midrange na 4250mah
gsmarena_559.jpg
 
Flagship yoyote mkuu ni kuandaa tu milioni 2 siku hizi. Na Hizi highend za siku hizi hazikai na chaji compare na za 2019 na 2020, nakuona hapo umeikazania 5000mah, hio haitakusaidia ikiwa simu ina sd 8 gen 1.

gsmarena_387.jpg


Hii top midrange na 4250mah
gsmarena_559.jpg
Kwa nini flagship hazikai na chaji wakati zina proccesors za kisasa zaidi,?
 
Kwa nini flagship hazikai na chaji wakati zina proccesors za kisasa zaidi,?
Inategemea na Generation mkuu. Snapdragon 855, 860, 865 na 870 zinakaa sana na Charge, ila miaka hii miwili soc za flagship za Android hazikua vizuri sababu ya mambo mawili
1. Manufacturing process ya samsung ambayo sio advanced kama ya TSMC
2. Uwepo wa Cortex X1/X2 ambazo ni core mpya za Flagship, zinabugia chaji balaa.

Kama upo sokoni sasa hivi unataka simu kali Tafuta yenye snapdragon 865 ama 870 utapata simu nzuri inayokaa na chaji.

Hapo nimeongelea kwenye flagship.

Ukija kwanini flagship hazikai na chaji kama midrange flagship nyingi zina vifaa vya kisasa vinavyokula sana chaji kama Display zenye resolution kubwa zipo za 4k na 2k kibao, processor ikiwa na nguvu inakula sana chaji, speaker, mic, ram, storage na mambo mengine mengi yanakuwa na perfomance kubwa zaidi.
 
Inategemea na Generation mkuu. Snapdragon 855, 860, 865 na 870 zinakaa sana na Charge, ila miaka hii miwili soc za flagship za Android hazikua vizuri sababu ya mambo mawili
1. Manufacturing process ya samsung ambayo sio advanced kama ya TSMC
2. Uwepo wa Cortex X1/X2 ambazo ni core mpya za Flagship, zinabugia chaji balaa.

Kama upo sokoni sasa hivi unataka simu kali Tafuta yenye snapdragon 865 ama 870 utapata simu nzuri inayokaa na chaji.

Hapo nimeongelea kwenye flagship.

Ukija kwanini flagship hazikai na chaji kama midrange flagship nyingi zina vifaa vya kisasa vinavyokula sana chaji kama Display zenye resolution kubwa zipo za 4k na 2k kibao, processor ikiwa na nguvu inakula sana chaji, speaker, mic, ram, storage na mambo mengine mengi yanakuwa na perfomance kubwa zaidi.
Doh !
Asante sana ubarikiwe nilikuwa nimekariri kuwa kadiri soc inavyokuwa latest basi ndo inazidi kuwa power efficiemt
 
Back
Top Bottom